Roman Script    Reciting key words            Previous Sūrah    Quraan Index    Home  

89) Sūrat Al-Fajr

Printed format

89) سُورَة الفَجر

Toggle thick letters. Most people make the mistake of thickening thin letters in the words that have other (highlighted) thick letter Toggle to highlight thick letters خصضغطقظ رَ
Wa Al-Fajri 1. Naapa kwa alfajiri, وَ‌الْفَ‍‍جْ‍‍رِ
Wa Layālin `Ashrin 2. Na kwa masiku kumi, وَلَي‍‍َ‍الٍ عَشْرٍ
Wa Ash-Shaf`i Wa Al-Watri 3. Na kwa viwili viwili na kimoja kimoja, وَ‌الشَّفْعِ ‌وَ‌الْوَتْ‍‍رِ
Wa Al-Layli 'Idhā Yasri 4. Na kwa usiku unapo pita, وَ‌اللَّ‍‍يْ‍‍لِ ‌إِ‌ذَ‌ا‌ يَسْ‍‍رِ
Hal Fī Dhālika Qasamun Lidhī Ĥijrin 5. Je! Hapana katika haya kiapo kwa mwenye akili? هَلْ فِي ‌ذَلِكَ قَ‍‍سَم ٌ‌ لِذِي حِ‍‍جْ‍‍رٍ
'Alam Tara Kayfa Fa`ala Rabbuka Bi`ādin 6. Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo أَلَمْ تَ‍رَ‌ كَ‍‍يْ‍‍فَ فَعَلَ ‌‍رَبُّكَ بِعَا‌دٍ
'Irama Dhāti Al-`Imādi 7. Wa Iram, wenye majumba marefu? إِ‌‍رَمَ ‌ذ‍َ‍‌اتِ ‌الْعِمَا‌دِ
Allatī Lam Yukhlaq Mithluhā Fī Al-Bilādi 8. Ambao haukuumbwa mfano wake katika nchi? الَّتِي لَمْ يُ‍‍خْ‍‍لَ‍‍قْ مِثْلُهَا‌ فِي ‌الْبِلاَ‌دِ
Wa Thamūda Al-Ladhīna Jābū Aş-Şakhra Bil-Wādi 9. Na Thamudi walio chonga majabali huko bondeni? وَثَم‍‍ُ‍و‌دَ‌ ‌الَّذ‍ِ‍ي‍‍نَ جَابُو‌ا‌ال‍‍صَّ‍‍خْ‍رَ‌ بِ‍الْوَ‌ا‌دِ
Wa Fir`awna Dhī Al-'Awtādi 10. Na Firauni mwenye vigingi? وَفِ‍‍رْعَ‍‍وْنَ ‌ذِي ‌الأَ‌وْتَا‌دِ
Al-Ladhīna Ţaghaw Fī Al-Bilādi 11. Ambao walifanya jeuri katika nchi? الَّذ‍ِ‍ي‍‍نَ طَ‍‍غَ‍‍وْ‌ا‌ فِي ‌الْبِلاَ‌دِ
Fa'aktharū Fīhā Al-Fasāda 12. Wakakithirisha humo ufisadi? فَأَكْثَرُ‌و‌ا‌ فِيهَا‌ ‌الْفَسَا‌دَ
Faşabba `Alayhim Rabbuka Sawţa `Adhābin 13. Basi Mola wako Mlezi aliwapiga mjeledi wa فَ‍صَ‍‍بَّ عَلَيْهِمْ ‌‍رَبُّكَ سَ‍‍وْ‍طَ عَذَ‌ابٍ
'Inna Rabbaka Labiālmirşādi 14. Hakika Mola wako Mlezi yupo kwenye mavizio إِنَّ ‌‍رَبَّكَ لَبِالْمِ‍‍رْ‍‍صَ‍‍ا‌دِ
Fa'ammā Al-'Insānu 'Idhā Mā Abtalāhu Rabbuhu Fa'akramahu Wa Na``amahu Fayaqūlu Rabbī 'Akramani 15. Ama mtu anapo jaribiwa na Mola wake Mlezi, فَأَمَّ‍‍ا‌ ‌الإِ‌ن‍‍س‍‍َ‍انُ ‌إِ‌ذَ‌ا‌ مَا‌ ‌ابْ‍‍تَلاَهُ ‌‍رَبُّ‍‍هُ فَأَكْ‍رَمَ‍‍هُ ‌وَنَعَّمَ‍‍هُ فَيَ‍‍قُ‍‍ولُ ‌‍رَبِّ‍‍ي‍ ‌أَكْ‍رَمَنِ
Wa 'Ammā 'Idhā Mā Abtalāhu Faqadara `Alayhi Rizqahu Fayaqūlu Rabbī 'Ahānani 16. Na ama anapo mjaribu akampunguzia riziki وَ‌أَمَّ‍‍ا‌ ‌إِ‌ذَ‌ا‌ مَا‌ ‌ابْ‍‍تَلاَهُ فَ‍‍قَ‍‍دَ‌‍رَ‌ عَلَ‍‍يْ‍‍هِ ‌رِ‌زْ‍قَ‍‍هُ فَيَ‍‍قُ‍‍ولُ ‌‍رَبِّ‍‍ي‍ ‌أَهَانَنِ
Kallā ۖ Bal Lā Tukrimūna Al-Yatīma 17. Sivyo hivyo! Bali nyinyi hamuwakirimu mayatima, كَلاَّ‌ ۖ بَ‍‍ل لاَ‌ تُكْ‍‍رِم‍‍ُ‍ونَ ‌الْيَتِيمَ
Wa Lā Taĥāđđūna `Alá Ţa`āmi Al-Miskīni 18. Wala hamhimizani kulisha masikini; وَلاَ‌ تَح‍‍َ‍اضُّ‍‍ونَ عَلَى‌ طَ‍‍ع‍‍َ‍امِ ‌الْمِسْكِينِ
Wa Ta'kulūna At-Tutha 'Aklāan Lammāan 19. Na mnakula urithi kwa ulaji wa pupa, وَتَأْكُل‍‍ُ‍ونَ ‌ال‍‍تُّ‍رَ‍‌اثَ ‌أَكْلا‌ ً‌ لَ‍‍مّ‍‍اً
Wa Tuĥibbūna Al-Māla Ĥubbāan Jammāan 20. Na mnapenda mali pendo la kupita kiasi. وَتُحِبّ‍‍ُ‍ونَ ‌الْم‍‍َ‍الَ حُبّا‌‌ ً‌ جَ‍‍مّ‍‍اً
Kallā 'Idhā Dukkati Al-'Arđu Dakkāan Dakkāan 21. Sivyo hivyo! Itakapo vunjwa ardhi vipande كَلاَّ‌ ‌إِ‌ذَ‌ا‌ ‌دُكَّتِ ‌الأَ‌رْ‍ضُ ‌دَكّا‌‌ ً‌ ‌دَكّاً
Wa Jā'a Rabbuka Wa Al-Malaku Şaffāan Şaffāan 22. Na akaja Mola wako Mlezi na Malaika safu وَج‍‍َ‍ا‌ءَ‌ ‌‍رَبُّكَ ‌وَ‌الْمَلَكُ صَ‍‍فّا‌‌ ًصَ‍‍فّاً
Wa Jī'a Yawma'idhin Bijahannama ۚ Yawma'idhin Yatadhakkaru Al-'Insānu Wa 'Anná Lahu Adh-Dhikrá 23. Na ikaletwa Jahannamu siku hiyo, siku hiyo وَج‍‍ِ‍يءَ‌ يَوْمَئِذ‌ٍ‌ بِجَهَ‍‍نَّ‍‍مَ ۚ يَوْمَئِذ‌ٍ‌ يَتَذَكَّرُ‌ ‌الإِ‌نْ‍‍س‍‍َ‍انُ ‌وَ‌أَنَّ‍‍ى‌ لَهُ ‌ال‍‍ذِّكْ‍رَ‌ى
Yaqūlu Yā Laytanī Qaddamtu Liĥayātī 24. Atasema: Laiti ningeli jitangulizia kwa uhai يَ‍قُ‍‍ولُ يَا‌ لَيْتَنِي قَ‍‍دَّمْتُ لِحَيَاتِي
Fayawma'idhin Lā Yu`adhdhibu `Adhābahu~ 'Aĥadun 25. Basi siku hiyo hataadhibu yeyote namna ya فَيَوْمَئِذ‌ٍ‌ لاَ‌ يُعَذِّبُ عَذَ‌ابَهُ ‌أَحَدٌ
Wa Lā Yūthiqu Wathāqahu~ 'Aĥadun 26. Wala hatafunga yeyote kama kufunga kwake. وَلاَ‌ يُوثِ‍‍قُ ‌وَثَاقَ‍‍هُ ‌أَحَدٌ
Yā 'Ayyatuhā An-Nafsu Al-Muţma'innatu 27. Ewe nafsi iliyo tua! يَ‍‍ا‌ ‌أَيَّتُهَا‌ ‌ال‍‍نَّ‍‍فْسُ ‌الْمُ‍‍طْ‍‍مَئِ‍‍نَّ‍‍ةُ
Arji`ī 'Ilá Rabbiki điyatan Marđīyatan 28. Rejea kwa Mola wako Mlezi umeridhika, na ا‌رْجِعِ‍‍ي ‌إِلَى‌ ‌‍رَبِّكِ ‌‍رَ‌اضِ‍‍يَة ً‌ مَرْ‍ضِ‍‍يَّةً
dkhulī Fī `Ibādī 29. Basi ingia miongoni mwa waja wangu, فَا‌دْ‍‍خُ‍‍لِي فِي عِبَا‌دِي
Wa Adkhulī Jannatī 30. Na ingia katika Pepo yangu.  وَ‌ا‌دْ‍‍خُ‍‍لِي جَ‍‍نَّ‍‍تِي
Toggle thick letters. Most people make the mistake of thickening thin letters in the words that have other (highlighted) thick letter Toggle to highlight thick letters خصضغطقظ رَ
Next Sūrah