Roman Script    Reciting key words            Previous Sūrah    Quraan Index    Home  

88) Sūrat Al-Ghāshiyah

Printed format

88) سُورَة الْغَاشِيَه

Toggle thick letters. Most people make the mistake of thickening thin letters in the words that have other (highlighted) thick letter Toggle to highlight thick letters خصضغطقظ رَ
Hal 'Atāka Ĥadīthu Al-Ghāshiyati 1. Je! Imekufikia khabari ya msiba wa kufudikiza? هَلْ ‌أَت‍‍َ‍اكَ حَد‍ِ‍ي‍‍ثُ ‌الْ‍‍غَ‍‍اشِيَةِ
Wujūhun Yawma'idhin Khāshi`atun 2. Siku hiyo nyuso zitainama, وُج‍‍ُ‍وهٌ‌ يَوْمَئِذٍ‌ خَ‍‍اشِعَةٌ
`Āmilatunşibatun 3. Zikifanya kazi, nazo taabani. عَامِلَةٌ‌ نَاصِ‍‍بَ‍‍ةٌ
Taşlá Nāan Ĥāmiyatan 4. Ziingie katika Moto unao waka - تَ‍صْ‍‍لَى‌ نَا‌ر‌اً‌ حَامِيَةً
Tusqá Min `Aynin 'Āniyatin 5. Zikinyweshwa kutoka chemchem inayo chemka. تُسْ‍قَ‍‍ى‌ مِ‍‌‍نْ عَ‍‍يْ‍‍ن‌‍ٍ‌ ‌آنِيَةٍ
Laysa Lahum Ţa`āmun 'Illā Min Đarī`in 6. Hawatakuwa na chakula isipo kuwa kichungu chenye لَ‍‍يْ‍‍سَ لَهُمْ طَ‍‍ع‍‍َ‍ام‌‍ٌ‌ ‌إِلاَّ‌ مِ‍‌‍نْ ضَ‍‍رِيعٍ
Lā Yusminu Wa Lā Yughnī Min Jū`in 7. Hakinenepeshi wala hakiondoi njaa. لاَ‌ يُسْمِنُ ‌وَلاَ‌ يُ‍‍غْ‍‍نِي مِ‍‌‍نْ جُوعٍ
Wujūhun Yawma'idhin Nā`imatun 8. Siku hiyo nyuso nyengine zitakuwa kunjufu. وُج‍‍ُ‍وهٌ‌ يَوْمَئِذ‌ٍ‌ نَاعِمَةٌ
Lisa`yihā điyatun 9. Zitakuwa radhi kwa juhudi yao, لِسَعْيِهَا‌ ‌‍رَ‌اضِ‍‍يَةٌ
Fī Jannatin `Āliyatin 10. Katika Bustani ya juu. فِي جَ‍‍نَّ‍‍ةٍ عَالِيَةٍ
Lā Tasma`u Fīhā Lāghiyatan 11. Hawatasikia humo upuuzi. لاَ‌ تَسْمَعُ فِيهَا‌ لاَ‍‍غِ‍‍يَةً
Fīhā `Aynunriyatun 12. Humo imo chemchem inayo miminika. فِيهَا‌ عَ‍‍يْ‍‍ن‌‍ٌ‌ جَا‌رِيَةٌ
Fīhā Sururun Marfū`atun 13. Humo vimo viti vilivyo nyanyuliwa, فِيهَا‌ سُرُ‌ر‌ٌ‌ مَرْفُوعَةٌ
Wa 'Akwābun Mawđū`atun 14. Na bilauri zilizo pangwa, وَ‌أَكْو‍َ‍‌ابٌ‌ مَوْ‍ضُ‍‍وعَةٌ
Wa Namāriqu Maşfūfatun 15. Na matakia safu safu, وَنَمَا‌رِ‍‍قُ مَ‍‍صْ‍‍فُوفَةٌ
Wa Zabīyu Mabthūthatun 16. Na mazulia yaliyo tandikwa. وَ‌زَ‌‍رَ‌ابِيُّ مَ‍‍بْ‍‍ثُوثَةٌ
'Afalā Yanžurūna 'Ilá Al-'Ibili Kayfa Khuliqat 17. Je! Hawamtazami ngamia jinsi alivyo umbwa? أَفَلاَ‌ يَ‍‌‍نْ‍‍‍‍ظُ‍‍ر‍ُ‍‌ونَ ‌إِلَى‌ ‌الإِبِلِ كَ‍‍يْ‍‍فَ خُ‍‍لِ‍‍ق‍‍َ‍‍تْ
Wa 'Ilá As-Samā'i Kayfa Rufi`at 18. Na mbingu jinsi ilivyo inuliwa? وَ‌إِلَى‌ ‌ال‍‍سَّم‍‍َ‍ا‌ءِ‌ كَ‍‍يْ‍‍فَ ‌رُفِعَتْ
Wa 'Ilá Al-Jibāli Kayfa Nuşibat 19. Na milima jinsi ilivyo thibitishwa? وَ‌إِلَى‌ ‌الْجِب‍‍َ‍الِ كَ‍‍يْ‍‍فَ نُ‍‍صِ‍‍بَ‍‍تْ
Wa 'Ilá Al-'Arđi Kayfa Suţiĥat 20. Na ardhi jinsi ilivyo tandazwa? وَ‌إِلَى‌ ‌الأَ‌رْ‍ضِ كَ‍‍يْ‍‍فَ سُ‍‍طِ‍‍حَتْ
Fadhakkir 'Innamā 'Anta Mudhakkirun 21. Basi kumbusha! Hakika wewe ni Mkumbushaji. فَذَكِّ‍‍رْ‌ ‌إِنَّ‍‍مَ‍‍ا‌ ‌أَ‌نْ‍‍تَ مُذَكِّرٌ
Lasta `Alayhim Bimusayţirin 22. Wewe si mwenye kuwatawalia. لَسْتَ عَلَيْهِمْ بِمُسَيْ‍‍ط‍‍ِ‍‍ر‍ٍ‍
'Illā Man Tawallá Wa Kafara 23. Lakini anaye rudi nyuma na kukataa, إِلاَّ‌ مَ‍‌‍نْ تَوَلَّى‌ ‌وَكَفَ‍رَ
Fayu`adhdhibuhu Allāhu Al-`Adhāba Al-'Akbara 24. Basi Mwenyezi Mungu atamuadhibu kwa adhabu فَيُعَذِّبُهُ ‌اللَّ‍‍هُ ‌الْعَذ‍َ‍‌ابَ ‌الأَكْ‍‍بَ‍‍‍رَ
'Inna 'Ilaynā 'Īābahum 25. Hakika ni kwetu Sisi ndio marejeo yao. إِنَّ ‌إِلَيْنَ‍‍ا‌ ‌إِيَابَهُمْ
Thumma 'Inna `Alaynā Ĥisābahum 26. Kisha hakika ni juu yetu Sisi hisabu yao!  ثُ‍‍مَّ ‌إِنَّ عَلَيْنَا‌ حِسَابَهُمْ
Toggle thick letters. Most people make the mistake of thickening thin letters in the words that have other (highlighted) thick letter Toggle to highlight thick letters خصضغطقظ رَ
Next Sūrah