Toggle thick letters. Most people make the mistake of thickening thin letters in the words that have other (highlighted) thick letter | Toggle to highlight thick letters خصضغطقظ رَ |
Sa'ala Sā'ilun Bi`adhābin Wāqi`in
| 1. Muulizaji aliuliza juu ya adhabu itakayo tokea,
|
سَأَلَ سَائِلٌ بِعَذَابٍ وَاقِعٍ |
Lilkāfiryna Laysa Lahu Dāfi`un
| 2. Kwa makafiri - ambayo hapana awezaye kuizuia
|
لِلْكَافِرينَ لَيْسَ لَهُ دَافِعٌ |
Mina Allāhi Dhī Al-Ma`āriji
| 3. Kutoka kwa Mwenyezi Mungu Mwenye mbingu za
|
مِنَ اللَّهِ ذِي الْمَعَارِجِ |
Ta`ruju Al-Malā'ikatu Wa Ar-Rūĥu 'Ilayhi Fī Yawmin Kāna Miqdāruhu Khamsīna 'Alfa Sanatin
| 4. Malaika na Roho hupanda kwendea kwake katika
|
تَعْرُجُ الْمَلاَئِكَةُ وَالرُّوحُ إِلَيْهِ فِي يَوْمٍ كَانَ مِقْدَارُهُ خَمْسِينَ أَلْفَ سَنَةٍ |
Fāşbir Şabrāan Jamīlāan
| 5. Basi subiri kwa subira njema.
|
فَاصْبِرْ صَبْرا ً جَمِيلاً |
'Innahum Yarawnahu Ba`īdāan
| 6. Hakika wao wanaiona iko mbali,
|
إِنَّهُمْ يَرَوْنَهُ بَعِيداً |
Wa Narāhu Qarībāan
| 7. Na Sisi tunaiona iko karibu.
|
وَنَرَاهُ قَرِيباً |
Yawma Takūnu As-Samā'u Kālmuhli
| 8. Siku ambayo mbingu zitakapo kuwa kama maadeni
|
يَوْمَ تَكُونُ السَّمَاءُ كَالْمُهْلِ |
Wa Takūnu Al-Jibālu Kāl`ihni
| 9. Na milima itakuwa kama sufi.
|
وَتَكُونُ الْجِبَالُ كَالْعِهْنِ |
Wa Lā Yas'alu Ĥamīmun Ĥamīmāan
| 10. Wala jamaa hatamuuliza jamaa yake.
|
وَلاَ يَسْأَلُ حَمِيمٌ حَمِيماً |
Yubaşşarūnahum ۚ Yawaddu Al-Mujrimu Law Yaftadī Min `Adhābi Yawmi'idhin Bibanīhi
| 11. Ijapo kuwa wataonyeshwa waonane. Atatamani
|
يُبَصَّرُونَهُمْ ۚ يَوَدُّ الْمُجْرِمُ لَوْ يَفْتَدِي مِنْ عَذَابِ يَوْمِئِذٍ بِبَنِيهِ |
Wa Şāĥibatihi Wa 'Akhīhi
| 12. Na mkewe, na nduguye,
|
وَصَاحِبَتِهِ وَأَخِيهِ |
Wa Faşīlatihi Allatī Tu'uwyhi
| 13. Na jamaa zake walio kuwa wakimkimu,
|
وَفَصِيلَتِهِ الَّتِي تُؤْويهِ |
Wa Man Fī Al-'Arđi Jamī`āan Thumma Yunjīhi
| 14. Na wote waliomo duniani, kisha aokoke yeye.
|
وَمَنْ فِي الأَرْضِ جَمِيعا ً ثُمَّ يُنجِيهِ |
Kallā ۖ 'Innahā Lažá
| 15. La, hasha! Kwa hakika huo ni Moto mkali kabisa,
|
كَلاَّ ۖ إِنَّهَا لَظَى |
Nazzā`atan Lilshshawá
| 16. Unao babua ngozi ya kichwa!
|
نَزَّاعَة ً لِلشَّوَى |
Tad`ū Man 'Adbara Wa Tawallá
| 17. Utamwita kila aliye geuza mgongo na akageuka.
|
تَدْعُوا مَنْ أَدْبَرَ وَتَوَلَّى |
Wa Jama`a Fa'aw`á
| 18. Na akakusanya mali, kisha akayahifadhi.
|
وَجَمَعَ فَأَوْعَى |
'Inna Al-'Insāna Khuliqa Halū`āan
| 19. Hakika mtu ameumbwa na papara.
|
إِنَّ الإِنسَانَ خُلِقَ هَلُوعاً |
'Idhā Massahu Ash-Sharru Jazū`āan
| 20. Inapo mgusa shari hupapatika.
|
إِذَا مَسَّهُ الشَّرُّ جَزُوعاً |
Wa 'Idhā Massahu Al-Khayru Manū`āan
| 21. Na inapo mgusa kheri huizuilia.
|
وَإِذَا مَسَّهُ الْخَيْرُ مَنُوعاً |
'Illā Al-Muşallīna
| 22. Isipo kuwa wanao sali,
|
إِلاَّ الْمُصَلِّينَ |
Al-Ladhīna Hum `Alá Şalātihim Dā'imūna
| 23. Ambao wanadumisha Sala zao,
|
الَّذِينَ هُمْ عَلَى صَلاَتِهِمْ دَائِمُونَ |
Wa Al-Ladhīna Fī 'Amwālihim Ĥaqqun Ma`lūmun
| 24. Na ambao katika mali yao iko haki maalumu
|
وَالَّذِينَ فِي أَمْوَالِهِمْ حَقٌّ مَعْلُومٌ |
Lilssā'ili Wa Al-Maĥrūmi
| 25. Kwa mwenye kuomba na anaye jizuilia kuomba;
|
لِلسَّائِلِ وَالْمَحْرُومِ |
Wa Al-Ladhīna Yuşaddiqūna Biyawmi Ad-Dīni
| 26. Na ambao wanaisadiki Siku ya Malipo,
|
وَالَّذِينَ يُصَدِّقُونَ بِيَوْمِ الدِّينِ |
Wa Al-Ladhīna Hum Min `Adhābi Rabbihim Mushfiqūna
| 27. Na ambao wanaiogopa adhabu itokayo kwa Mola
|
وَالَّذِينَ هُمْ مِنْ عَذَابِ رَبِّهِمْ مُشْفِقُونَ |
'Inna `Adhāba Rabbihim Ghayru Ma'mūnin
| 28. Hakika adhabu ya Mola wao Mlezi si ya kuaminika
|
إِنَّ عَذَابَ رَبِّهِمْ غَيْرُ مَأْمُونٍ |
Wa Al-Ladhīna Hum Lifurūjihim Ĥāfižūna
| 29. Na ambao wanahifadhi tupu zao.
|
وَالَّذِينَ هُمْ لِفُرُوجِهِمْ حَافِظُونَ |
'Illā `Alá 'Azwājihim 'Aw Mā Malakat 'Aymānuhum Fa'innahum Ghayru Malūmīna
| 30. Isipo kuwa kwa wake zao, au iliyo wamiliki
|
إِلاَّ عَلَى أَزْوَاجِهِمْ أَوْ مَا مَلَكَتْ أَيْمَانُهُمْ فَإِنَّهُمْ غَيْرُ مَلُومِينَ |
Famani Abtaghá Warā'a Dhālika Fa'ūlā'ika Humu Al-`Ādūna
| 31. Lakini wanao taka kinyume ya haya, basi hao
|
فَمَنِ ابْتَغَى وَرَاءَ ذَلِكَ فَأُوْلَائِكَ هُمُ الْعَادُونَ |
Wa Al-Ladhīna Hum Li'mānātihim Wa `Ahdihim Rā`ūna
| 32. Na ambao wanazichunga amana zao na ahadi
|
وَالَّذِينَ هُمْ لِأمَانَاتِهِمْ وَعَهْدِهِمْ رَاعُونَ |
Wa Al-Ladhīna Hum Bishahādātihim Qā'imūna
| 33. Na ambao wanasimama imara katika ushahidi
|
وَالَّذِينَ هُمْ بِشَهَادَاتِهِمْ قَائِمُونَ |
Wa Al-Ladhīna Hum `Alá Şalātihim Yuĥāfižūna
| 34. Na ambao wanazihifadhi Sala zao.
|
وَالَّذِينَ هُمْ عَلَى صَلاَتِهِمْ يُحَافِظُونَ |
'Ūlā'ika Fī Jannātin Mukramūna
| 35. Hao ndio watakao hishimiwa Peponi.
|
أُوْلَائِكَ فِي جَنَّاتٍ مُكْرَمُونَ |
Famāli Al-Ladhīna Kafarū Qibalaka Muhţi`īna
| 36. Wana nini wale walio kufuru wanakutumbulia
|
فَمَالِ الَّذِينَ كَفَرُوا قِبَلَكَ مُهْطِعِينَ |
`Ani Al-Yamīni Wa `Ani Ash-Shimāli `Izīna
| 37. Makundi kwa makundi upande wa kulia na upande
|
عَنِ الْيَمِينِ وَعَنِ الشِّمَالِ عِزِينَ |
'Ayaţma`u Kullu Amri'in Minhum 'An Yudkhala Jannata Na`īmin
| 38. Kwani kila mmoja wao anatumai kuingizwa katika
|
أَيَطْمَعُ كُلُّ امْرِئٍ مِنْهُمْ أَنْ يُدْخَلَ جَنَّةَ نَعِيمٍ |
Kallā ۖ 'Innā Khalaqnāhum Mimmā Ya`lamūna
| 39. La, hasha! Hakika Sisi tumewaumba kutokana
|
كَلاَّ ۖ إِنَّا خَلَقْنَاهُمْ مِمَّا يَعْلَمُونَ |
Falā 'Uqsimu Birabbi Al-Mashāriqi Wa Al-Maghāribi 'Innā Laqādirūna
| 40. Basi naapa kwa Mola Mlezi wa mashariki zote
|
فَلاَ أُقْسِمُ بِرَبِّ الْمَشَارِقِ وَالْمَغَارِبِ إِنَّا لَقَادِرُونَ |
`Alá 'An Nubaddila Khayrāan Minhum Wa Mā Naĥnu Bimasbūqīna
| 41. Kuwabadili kwa walio bora kuliko wao; na
|
عَلَى أَنْ نُبَدِّلَ خَيْرا ً مِنْهُمْ وَمَا نَحْنُ بِمَسْبُوقِينَ |
Fadharhum Yakhūđū Wa Yal`abū Ĥattá Yulāqū Yawmahumu Al-Ladhī Yū`adūna
| 42. Basi waache wapige porojo na wacheze, mpaka
|
فَذَرْهُمْ يَخُوضُوا وَيَلْعَبُوا حَتَّى يُلاَقُوا يَوْمَهُمُ الَّذِي يُوعَدُونَ |
Yawma Yakhrujūna Mina Al-'Ajdāthi Sirā`āan Ka'annahum 'Ilá Nuşubin Yūfiđūna
| 43. Siku watakapotoka makaburini kwa upesi kama
|
يَوْمَ يَخْرُجُونَ مِنَ الأَجْدَاثِ سِرَاعا ً كَأَنَّهُمْ إِلَى نُصُبٍ يُوفِضُونَ |
Khāshi`atan 'Abşāruhum Tarhaquhum Dhillatun ۚ Dhālika Al-Yawmu Al-Ladhī Kānū Yū`adūna
| 44. Macho yao yatainama, fedheha itawafunika.
|
خَاشِعَةً أَبْصَارُهُمْ تَرْهَقُهُمْ ذِلَّةٌ ۚ ذَلِكَ الْيَوْمُ الَّذِي كَانُوا يُوعَدُونَ |
Toggle thick letters. Most people make the mistake of thickening thin letters in the words that have other (highlighted) thick letter | Toggle to highlight thick letters خصضغطقظ رَ |