Roman Script    Reciting key words            Previous Sūrah    Quraan Index    Home  

83) Sūrat Al-Muţaffifīn

Printed format

83) سُورَة المُطَفِّفِين

Toggle thick letters. Most people make the mistake of thickening thin letters in the words that have other (highlighted) thick letter Toggle to highlight thick letters خصضغطقظ رَ
Waylun Lilmuţaffifīna 1. Ole wao hao wapunjao! وَيْ‍‍ل ٌ‌ لِلْمُ‍‍طَ‍‍فِّفِينَ
Al-Ladhīna 'Idhā Aktālū `Alá An-Nāsi Yastawfūna 2. Ambao wanapo jipimia kwa watu hudai watimiziwe. الَّذ‍ِ‍ي‍‍نَ ‌إِ‌ذَ‌ا‌ ‌اكْتَالُو‌ا‌ عَلَى‌ ‌ال‍‍نّ‍‍َ‍اسِ يَسْتَوْفُونَ
Wa 'Idhā Kālūhum 'Aw Wazanūhum Yukhsirūna 3. Na wao wanapo wapimia watu kwa kipimo au mizani وَ‌إِ‌ذَ‌ا‌ كَالُوهُمْ ‌أَ‌وْ‌ ‌وَ‌زَنُوهُمْ يُ‍‍خْ‍‍سِرُ‌ونَ
'Alā Yažunnu 'Ūla'ika 'Annahum Mabthūna 4. Kwani hawadhani hao kwamba watafufuliwa أَلاَ‌ يَ‍‍ظُ‍‍نُّ ‌أ‍ُ‍‌ولَئِكَ ‌أَنَّ‍‍هُمْ مَ‍‍بْ‍‍عُوثُونَ
Liyawmin `Ažīmin 5. Katika Siku iliyo kuu, لِيَ‍‍وْمٍ عَ‍‍ظِ‍‍يمٍ
Yawma Yaqūmu An-Nāsu Lirabbi Al-`Ālamīna 6. Siku watapo msimamia watu Mola Mlezi wa walimwengu يَ‍‍وْمَ يَ‍‍قُ‍‍ومُ ‌ال‍‍نّ‍‍َ‍اسُ لِ‍رَبِّ ‌الْعَالَمِينَ
Kallā 'Inna Kitāba Al-Fujjāri Lafī Sijjīnin 7. Hasha! Hakika maandiko ya wakosefu bila ya كَلاَّ‌ ‌إِنَّ كِت‍‍َ‍ابَ ‌الفُجّ‍‍َ‍ا‌ر‍ِ‍‌ لَفِي سِجِّينٍ
Wa Mā 'Adrāka Mā Sijjīnun 8. Unajua nini Sijjin? وَمَ‍‍ا‌ ‌أَ‌دْ‌رَ‍‌اكَ مَا‌ سِجِّينٌ
Kitābun Marqūmun 9. Kitabu kilicho andikwa. كِت‍‍َ‍ابٌ‌ مَرْ‍قُ‍‍ومٌ
Waylun Yawma'idhin Lilmukadhdhibīna 10. Ole wao siku hiyo kwa wanao kadhibisha! وَيْ‍‍لٌ‌ يَوْمَئِذ‌ٍ‌ لِلْمُكَذِّبِينَ
Al-Ladhīna Yukadhdhibūna Biyawmi Ad-Dīni 11. Ambao wanaikadhibisha Siku ya Malipo. الَّذ‍ِ‍ي‍‍نَ يُكَذِّب‍‍ُ‍ونَ بِيَ‍‍وْمِ ‌ال‍‍دِّينِ
Wa Mā Yukadhdhibu Bihi~ 'Illā Kullu Mu`tadin 'Athīmin 12. Wala haikadhibishi ila kila mwenye kuruka وَمَا‌ يُكَذِّبُ بِهِ~‍ِ ‌إلاَّ‌ كُلُّ مُعْتَدٍ‌ ‌أَثِيمٍ
'Idhā Tutlá `Alayhi 'Āyātunā Qāla 'Asāţīru Al-'Awwalīna 13. Anapo somewa Aya zetu husema: Ni visa vya إِ‌ذَ‌ا‌ تُتْلَى‌ عَلَ‍‍يْ‍‍هِ ‌آيَاتُنَا‌ قَ‍‍الَ ‌أَسَاطِ‍‍ي‍‍رُ‌ ‌الأَ‌وَّلِينَ
Kallā ۖ Bal ۜ Rāna `Alá Qulūbihim Mā Kānū Yaksibūna 14. Hasha! Bali yametia kutu juu ya nyoyo zao كَلاَّ‌ ۖ بَلْ ۜرَ‍‌انَ عَلَى‌ قُ‍‍لُوبِهِمْ مَا‌ كَانُو‌ا‌ يَكْسِبُونَ
Kallā 'Innahum `An Rabbihim Yawma'idhin Lamaĥjūbūna 15. Hasha! Hakika hao siku hiyo bila ya shaka كَلاَّ‌ ‌إِنَّ‍‍هُمْ عَ‍‌‍نْ ‌‍رَبِّهِمْ يَوْمَئِذ‌ٍ‌ لَمَحْجُوبُونَ
Thumma 'Innahum Laşālū Al-Jaĥīmi 16. Kisha wataingia Motoni! ثُ‍‍مَّ ‌إِنَّ‍‍هُمْ لَ‍‍صَ‍‍الُو‌ا‌الْجَحِيمِ
Thumma Yuqālu Hādhā Al-Ladhī Kuntum Bihi Tukadhdhibūna 17. Kisha waambiwe: Haya ndiyo mliyo kuwa mkiyakadhabisha. ثُ‍‍مَّ يُ‍‍قَ‍‍الُ هَذَ‌ا‌ ‌الَّذِي كُ‍‌‍ن‍‍تُمْ بِ‍‍هِ تُكَذِّبُونَ
Kallā 'Inna Kitāba Al-'Abrāri Lafī `Illīyīna 18. Hasha! Hakika maandiko ya watu wema bila كَلاَّ‌ ‌إِنَّ كِت‍‍َ‍ابَ ‌الأَبْ‍رَ‍‌ا‌ر‍ِ‍‌ لَفِي عِلِّيِّينَ
Wa Mā 'Adrāka Mā `Illīyūna 19. Na nini kitakacho kujuvya nini I'liyyin? وَمَ‍‍ا‌ ‌أَ‌دْ‌رَ‍‌اكَ مَا‌ عِلِّيُّونَ
Kitābun Marqūmun 20. Kitabu kilicho andikwa. كِت‍‍َ‍ابٌ‌ مَرْ‍قُ‍‍ومٌ
Yash/haduhu Al-Muqarrabūna 21. Wanakishuhudia walio karibishwa. يَشْهَدُهُ ‌الْمُ‍‍قَ‍رَّبُونَ
'Inna Al-'Abrāra Lafī Na`īmin 22. Hakika watu wema bila ya shaka watakuwa katika إِنَّ ‌الأَبْ‍رَ‍‌ا‌‍رَ‌ لَفِي نَعِيمٍ
`Alá Al-'Arā'iki Yanžurūna 23. Wakae juu ya viti vya enzi wakiangalia. عَلَى‌ ‌الأَ‌ر‍َ‍‌ائِكِ يَ‍‌‍ن‍‍ظُ‍‍رُ‌ونَ
Ta`rifu Fī Wujūhihim Nađrata An-Na`īmi 24. Utatambua katika nyuso zao mng'aro wa neema, تَعْ‍‍رِفُ فِي ‌وُجُوهِهِمْ نَ‍‍ضْ‍رَةَ ‌ال‍‍نَّ‍‍عِيمِ
Yusqawna Min Raĥīqin Makhtūmin 25. Watanyweshwa kinywaji safi kiliyo tiwa muhuri, يُسْ‍قَ‍‍وْنَ مِ‍‌‍نْ ‌‍رَح‍‍ِ‍ي‍‍قٍ‌ مَ‍‍خْ‍‍تُومٍ
Khitāmuhu Miskun ۚ Wa Fī Dhālika Falyatanāfasi Al-Mutanāfisūna 26. Muhuri wake ni miski. Na katika hayo washindanie خِ‍‍تَامُ‍‍هُ مِسْكٌۚ ‌وَفِي ‌ذَلِكَ فَلْيَتَنَافَسِ ‌الْمُتَنَافِسُونَ
Wa Mizājuhu Min Tasnīmin 27. Na mchanganyiko wake ni Tasniim, وَمِزَ‌اجُ‍‍هُ مِ‍‌‍نْ تَسْنِيمٍ
`Aynāan Yashrabu Bihā Al-Muqarrabūna 28. Chemchem watakayo inywa walio kurubishwa. عَيْنا‌ ً‌ يَشْ‍رَبُ بِهَا‌ ‌الْمُ‍‍قَ‍رَّبُونَ
'Inna Al-Ladhīna 'Ajramū Kānū Mina Al-Ladhīna 'Āmanū Yađĥakūna 29. Kwa hakika wale walio kuwa wakosefu walikuwa إِنَّ ‌الَّذ‍ِ‍ي‍‍نَ ‌أَجْ‍‍‍رَمُو‌ا‌ كَانُو‌ا‌ مِنَ ‌الَّذ‍ِ‍ي‍‍نَ ‌آمَنُو‌ا‌ يَ‍‍ضْ‍‍حَكُونَ
Wa 'Idhā Marrū Bihim Yataghāmazūna 30. Na wanapo pita karibu yao wakikonyezana. وَ‌إِ‌ذَ‌ا‌ مَرُّ‌و‌ا‌ بِهِمْ يَتَ‍‍غَ‍‍امَزُ‌ونَ
Wa 'Idhā Anqalabū 'Ilá 'Ahlihimu Anqalabū Fakihīna 31. Na wanapo rudi kwa watu wao hurudi nao wamefurahi. وَ‌إِ‌ذَ‌ا‌ ‌ان‍‍قَ‍‍لَبُ‍‍و‌ا‌ ‌إِلَ‍‍ى‌ ‌أَهْلِهِمُ ‌ان‍‍قَ‍‍لَبُو‌ا‌ فَكِهِينَ
Wa 'Idhā Ra'awhum Qālū 'Inna Hā'uulā' Lađāllūna 32. Na wanapo waona husema: Hakika hawa ndio وَ‌إِ‌ذَ‌ا‌ ‌‍رَ‌أَ‌وْهُمْ قَ‍‍الُ‍‍و‌ا‌ ‌إِنَّ ه‍‍َ‍ا‌ؤُلاَ‌ء‌ لَ‍‍ضَ‍‍الُّونَ
Wa Mā 'Ursilū `Alayhim Ĥāfižīna 33. Na wao hawakutumwa wawe walinzi juu yao. وَمَ‍‍ا‌ ‌أُ‌رْسِلُو‌ا‌ عَلَيْهِمْ حَافِ‍‍ظِ‍‍ينَ
Fālyawma Al-Ladhīna 'Āmanū Mina Al-Kuffāri Yađĥakūna 34. Basi leo walio amini ndio watawacheka makafiri, فَالْيَ‍‍وْمَ ‌الَّذ‍ِ‍ي‍‍نَ ‌آمَنُو‌ا‌ مِنَ ‌الْكُفّ‍‍َ‍ا‌ر‍ِ‍‌ يَ‍‍ضْ‍‍حَكُونَ
`Alá Al-'Arā'iki Yanžurūna 35. Nao wako juu ya viti vya enzi wakiangalia. عَلَى‌ ‌الأَ‌ر‍َ‍‌ائِكِ يَ‍‌‍ن‍‍ظُ‍‍رُ‌ونَ
Hal Thūwiba Al-Kuffāru Mā Kānū Yaf`alūna 36. Je! makafiri wamelipwa malipo ya yale waliyo هَلْ ثُوِّبَ ‌الْكُفّ‍‍َ‍ا‌رُ‌ مَا‌ كَانُو‌ا‌ يَفْعَلُونَ
Toggle thick letters. Most people make the mistake of thickening thin letters in the words that have other (highlighted) thick letter Toggle to highlight thick letters خصضغطقظ رَ
Next Sūrah