Toggle thick letters. Most people make the mistake of thickening thin letters in the words that have other (highlighted) thick letter | Toggle to highlight thick letters خصضغطقظ رَ |
Waylun Lilmuţaffifīna
| 1. Ole wao hao wapunjao!
|
وَيْل ٌ لِلْمُطَفِّفِينَ |
Al-Ladhīna 'Idhā Aktālū `Alá An-Nāsi Yastawfūna
| 2. Ambao wanapo jipimia kwa watu hudai watimiziwe.
|
الَّذِينَ إِذَا اكْتَالُوا عَلَى النَّاسِ يَسْتَوْفُونَ |
Wa 'Idhā Kālūhum 'Aw Wazanūhum Yukhsirūna
| 3. Na wao wanapo wapimia watu kwa kipimo au mizani
|
وَإِذَا كَالُوهُمْ أَوْ وَزَنُوهُمْ يُخْسِرُونَ |
'Alā Yažunnu 'Ūla'ika 'Annahum Mab`ūthūna
| 4. Kwani hawadhani hao kwamba watafufuliwa
|
أَلاَ يَظُنُّ أُولَئِكَ أَنَّهُمْ مَبْعُوثُونَ |
Liyawmin `Ažīmin
| 5. Katika Siku iliyo kuu,
|
لِيَوْمٍ عَظِيمٍ |
Yawma Yaqūmu An-Nāsu Lirabbi Al-`Ālamīna
| 6. Siku watapo msimamia watu Mola Mlezi wa walimwengu
|
يَوْمَ يَقُومُ النَّاسُ لِرَبِّ الْعَالَمِينَ |
Kallā 'Inna Kitāba Al-Fujjāri Lafī Sijjīnin
| 7. Hasha! Hakika maandiko ya wakosefu bila ya
|
كَلاَّ إِنَّ كِتَابَ الفُجَّارِ لَفِي سِجِّينٍ |
Wa Mā 'Adrāka Mā Sijjīnun
| 8. Unajua nini Sijjin?
|
وَمَا أَدْرَاكَ مَا سِجِّينٌ |
Kitābun Marqūmun
| 9. Kitabu kilicho andikwa.
|
كِتَابٌ مَرْقُومٌ |
Waylun Yawma'idhin Lilmukadhdhibīna
| 10. Ole wao siku hiyo kwa wanao kadhibisha!
|
وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِلْمُكَذِّبِينَ |
Al-Ladhīna Yukadhdhibūna Biyawmi Ad-Dīni
| 11. Ambao wanaikadhibisha Siku ya Malipo.
|
الَّذِينَ يُكَذِّبُونَ بِيَوْمِ الدِّينِ |
Wa Mā Yukadhdhibu Bihi~ 'Illā Kullu Mu`tadin 'Athīmin
| 12. Wala haikadhibishi ila kila mwenye kuruka
|
وَمَا يُكَذِّبُ بِهِ~ِ إلاَّ كُلُّ مُعْتَدٍ أَثِيمٍ |
'Idhā Tutlá `Alayhi 'Āyātunā Qāla 'Asāţīru Al-'Awwalīna
| 13. Anapo somewa Aya zetu husema: Ni visa vya
|
إِذَا تُتْلَى عَلَيْهِ آيَاتُنَا قَالَ أَسَاطِيرُ الأَوَّلِينَ |
Kallā ۖ Bal ۜ Rāna `Alá Qulūbihim Mā Kānū Yaksibūna
| 14. Hasha! Bali yametia kutu juu ya nyoyo zao
|
كَلاَّ ۖ بَلْ ۜ رَانَ عَلَى قُلُوبِهِمْ مَا كَانُوا يَكْسِبُونَ |
Kallā 'Innahum `An Rabbihim Yawma'idhin Lamaĥjūbūna
| 15. Hasha! Hakika hao siku hiyo bila ya shaka
|
كَلاَّ إِنَّهُمْ عَنْ رَبِّهِمْ يَوْمَئِذٍ لَمَحْجُوبُونَ |
Thumma 'Innahum Laşālū Al-Jaĥīmi
| 16. Kisha wataingia Motoni!
|
ثُمَّ إِنَّهُمْ لَصَالُوا الْجَحِيمِ |
Thumma Yuqālu Hādhā Al-Ladhī Kuntum Bihi Tukadhdhibūna
| 17. Kisha waambiwe: Haya ndiyo mliyo kuwa mkiyakadhabisha.
|
ثُمَّ يُقَالُ هَذَا الَّذِي كُنتُمْ بِهِ تُكَذِّبُونَ |
Kallā 'Inna Kitāba Al-'Abrāri Lafī `Illīyīna
| 18. Hasha! Hakika maandiko ya watu wema bila
|
كَلاَّ إِنَّ كِتَابَ الأَبْرَارِ لَفِي عِلِّيِّينَ |
Wa Mā 'Adrāka Mā `Illīyūna
| 19. Na nini kitakacho kujuvya nini I'liyyin?
|
وَمَا أَدْرَاكَ مَا عِلِّيُّونَ |
Kitābun Marqūmun
| 20. Kitabu kilicho andikwa.
|
كِتَابٌ مَرْقُومٌ |
Yash/haduhu Al-Muqarrabūna
| 21. Wanakishuhudia walio karibishwa.
|
يَشْهَدُهُ الْمُقَرَّبُونَ |
'Inna Al-'Abrāra Lafī Na`īmin
| 22. Hakika watu wema bila ya shaka watakuwa katika
|
إِنَّ الأَبْرَارَ لَفِي نَعِيمٍ |
`Alá Al-'Arā'iki Yanžurūna
| 23. Wakae juu ya viti vya enzi wakiangalia.
|
عَلَى الأَرَائِكِ يَنظُرُونَ |
Ta`rifu Fī Wujūhihim Nađrata An-Na`īmi
| 24. Utatambua katika nyuso zao mng'aro wa neema,
|
تَعْرِفُ فِي وُجُوهِهِمْ نَضْرَةَ النَّعِيمِ |
Yusqawna Min Raĥīqin Makhtūmin
| 25. Watanyweshwa kinywaji safi kiliyo tiwa muhuri,
|
يُسْقَوْنَ مِنْ رَحِيقٍ مَخْتُومٍ |
Khitāmuhu Miskun ۚ Wa Fī Dhālika Falyatanāfasi Al-Mutanāfisūna
| 26. Muhuri wake ni miski. Na katika hayo washindanie
|
خِتَامُهُ مِسْكٌ ۚ وَفِي ذَلِكَ فَلْيَتَنَافَسِ الْمُتَنَافِسُونَ |
Wa Mizājuhu Min Tasnīmin
| 27. Na mchanganyiko wake ni Tasniim,
|
وَمِزَاجُهُ مِنْ تَسْنِيمٍ |
`Aynāan Yashrabu Bihā Al-Muqarrabūna
| 28. Chemchem watakayo inywa walio kurubishwa.
|
عَيْنا ً يَشْرَبُ بِهَا الْمُقَرَّبُونَ |
'Inna Al-Ladhīna 'Ajramū Kānū Mina Al-Ladhīna 'Āmanū Yađĥakūna
| 29. Kwa hakika wale walio kuwa wakosefu walikuwa
|
إِنَّ الَّذِينَ أَجْرَمُوا كَانُوا مِنَ الَّذِينَ آمَنُوا يَضْحَكُونَ |
Wa 'Idhā Marrū Bihim Yataghāmazūna
| 30. Na wanapo pita karibu yao wakikonyezana.
|
وَإِذَا مَرُّوا بِهِمْ يَتَغَامَزُونَ |
Wa 'Idhā Anqalabū 'Ilá 'Ahlihimu Anqalabū Fakihīna
| 31. Na wanapo rudi kwa watu wao hurudi nao wamefurahi.
|
وَإِذَا انقَلَبُوا إِلَى أَهْلِهِمُ انقَلَبُوا فَكِهِينَ |
Wa 'Idhā Ra'awhum Qālū 'Inna Hā'uulā' Lađāllūna
| 32. Na wanapo waona husema: Hakika hawa ndio
|
وَإِذَا رَأَوْهُمْ قَالُوا إِنَّ هَاؤُلاَء لَضَالُّونَ |
Wa Mā 'Ursilū `Alayhim Ĥāfižīna
| 33. Na wao hawakutumwa wawe walinzi juu yao.
|
وَمَا أُرْسِلُوا عَلَيْهِمْ حَافِظِينَ |
Fālyawma Al-Ladhīna 'Āmanū Mina Al-Kuffāri Yađĥakūna
| 34. Basi leo walio amini ndio watawacheka makafiri,
|
فَالْيَوْمَ الَّذِينَ آمَنُوا مِنَ الْكُفَّارِ يَضْحَكُونَ |
`Alá Al-'Arā'iki Yanžurūna
| 35. Nao wako juu ya viti vya enzi wakiangalia.
|
عَلَى الأَرَائِكِ يَنظُرُونَ |
Hal Thūwiba Al-Kuffāru Mā Kānū Yaf`alūna
| 36. Je! makafiri wamelipwa malipo ya yale waliyo
|
هَلْ ثُوِّبَ الْكُفَّارُ مَا كَانُوا يَفْعَلُونَ |
Toggle thick letters. Most people make the mistake of thickening thin letters in the words that have other (highlighted) thick letter | Toggle to highlight thick letters خصضغطقظ رَ |