Roman Script    Reciting key words            Previous Sūrah    Quraan Index    Home  

13) Sūrat Ar-Ra`d

Printed format

13) سُورَة الرَّعد

Toggle thick letters. Most people make the mistake of thickening thin letters in the words that have other (highlighted) thick letter Toggle to highlight thick letters خصضغطقظ رَ
'Alif-Lām-Mīm- ۚ Tilka 'Āyātu Al-Kitābi Wa ۗ Al-Ladhī 'Unzila 'Ilayka Min Rabbika Al-Ĥaqqu Wa Lakinna 'Akthara An-Nāsi Lā Yu'uminūna 1. Alif Lam Mym Ra. (A.L.M.R.) Hizi ni Ishara za Kitabu. Na uliyo teremshiwa kutoka kwa Mola wako Mlezi ni Haki. Lakini wengi wa watu hawaamini. أَلِف-لَام-مِيم-‍رَ‌ا‌ ۚ تِلْكَ ‌آي‍‍َ‍اتُ ‌الْكِت‍‍َ‍ابِ ۗ ‌وَ‌الَّذِي ‌أُ‌ن‍‍زِلَ ‌إِلَ‍‍يْ‍‍كَ مِ‍‌‍نْ ‌‍رَبِّكَ ‌الْحَ‍‍قُّ ‌وَلَكِ‍‍نَّ ‌أَكْثَ‍رَ‌ال‍‍نّ‍‍َ‍اسِ لاَ‌ يُؤْمِنُونَ
Al-Lahu Al-Ladhī Rafa`a As-Samāwāti Bighayri `Amadin Tarawnahā ۖ Thumma Astawá `Alá Al-`Arshi ۖ Wa Sakhkhara Ash-Shamsa Wa Al-Qamara ۖ Kullun Yajrī Li'jalin Musamman ۚ Yudabbiru Al-'Amra Yufaşşilu Al-'Āyāti La`allakum Biliqā'i Rabbikumqinūna 2. Mwenyezi Mungu aliye ziinua mbingu bila ya nguzo mnazo ziona, ametawala kwenye Ufalme wake, na amefanya jua na mwezi yamt'ii, kila kimoja kinakwenda kwa kiwango maalumu. Anayapanga mambo, na anazipambanua Ishara ili mpate kuwa na yakini kukutana na Mola wenu Mlezi. اللَّهُ ‌الَّذِي ‌‍رَفَعَ ‌ال‍‍سَّمَا‌و‍َ‍‌اتِ بِ‍‍غَ‍‍يْ‍‍ر‍ِ‍‌ عَمَد‌‌ٍ‌ تَ‍رَ‌وْنَهَا‌ ۖ ثُ‍‍مَّ ‌اسْتَوَ‌ى‌ عَلَى‌ ‌الْعَرْشِ ۖ ‌وَسَ‍‍خَّ‍رَ‌ال‍‍شَّمْسَ ‌وَ‌الْ‍‍قَ‍‍مَ‍رَۖ كُلٌّ‌ يَ‍‍جْ‍‍رِي لِأجَلٍ‌ مُسَ‍‍مّ‍‍ى‌ ًۚ يُدَبِّ‍‍ر‍ُ‍‌ ‌الأَمْ‍رَ‌ يُفَ‍‍صِّ‍‍لُ ‌الآي‍‍َ‍اتِ لَعَلَّكُمْ بِلِ‍‍قَ‍‍ا‌ءِ‌ ‌‍رَبِّكُمْ تُوقِ‍‍نُونَ
Wa Huwa Al-Ladhī Madda Al-'Arđa Wa Ja`ala Fīhā Rawāsiya Wa 'Anhāan ۖ Wa Min Kulli Ath-Thamarāti Ja`ala Fīhā Zawjayni Athnayni ۖ Yughshī Al-Layla An-Nahāra ۚ 'Inna Fī Dhālika La'āyātin Liqawmin Yatafakkarūna 3. Na ndiye aliye itandaza ardhi na akaweka humo milima na mito. Na katika kila matunda akafanya dume na jike. Huufunika usiku juu ya mchana. Hakika katika haya zimo Ishara kwa watu wanao fikiri. وَهُوَ‌ ‌الَّذِي مَدَّ‌ ‌الأَ‌رْ‍ضَ ‌وَجَعَلَ فِيهَا‌ ‌‍رَ‌وَ‌اسِيَ ‌وَ‌أَ‌نْ‍‍هَا‌ر‌ا‌ ًۖ ‌وَمِ‍‌‍نْ كُلِّ ‌ال‍‍ثَّمَ‍رَ‍‌اتِ جَعَلَ فِيهَا‌ ‌زَ‌وْجَ‍‍يْ‍‍نِ ‌اثْنَ‍‍يْ‍‍نِ ۖ يُ‍‍غْ‍‍شِي ‌ال‍‍لَّ‍‍يْ‍‍لَ ‌ال‍‍نَّ‍‍ه‍‍َ‍ا‌‍رَۚ ‌إِنَّ فِي ‌ذَلِكَ لَآي‍‍َ‍ات‍ٍ‌ لِ‍‍قَ‍‍وْمٍ‌ يَتَفَكَّرُ‌ونَ
Wa Fī Al-'Arđi Qiţa`un Mutajāwirātun Wa Jannātun Min 'A`nābin Wa Zar`un Wa Nakhīlun Şinwānun Wa Ghayru Şinwānin Yusqá Bimā'in Wāĥidin Wa Nufađđilu Ba`đahā `Alá Ba`đin Al-'Ukuli ۚ 'Inna Fī Dhālika La'āyātin Liqawmin Ya`qilūna 4. Na katika ardhi vimo vipande vilivyo karibiana, na zipo bustani za mizabibu, na mimea mingine, na mitende yenye kuchipua kwenye shina moja na isio chipua kwenye shina moja, nayo inatiliwa maji yale yale. Na tunaifanya baadhi yao bora kuliko mengine katika kula. Hakika katika hayo zimo ishara kwa watu wanao tia mambo akilini. وَفِي ‌الأَ‌رْ‍ضِ قِ‍‍طَ‍‍عٌ‌ مُتَجَا‌وِ‌رَ‍‌اتٌ‌ ‌وَجَ‍‍نّ‍‍َ‍اتٌ‌ مِ‍‌‍نْ ‌أَعْن‍‍َ‍ابٍ‌ ‌وَ‌زَ‌رْعٌ‌ ‌وَنَ‍‍خِ‍‍ي‍‍ل‌‍ٌصِ‍‍‌‍نْ‍‍و‍َ‍‌انٌ‌ ‌وَ‍‍غَ‍‍يْ‍‍رُ‌ صِ‍‍‌‍نْ‍‍و‍َ‍‌انٍ‌ يُسْ‍‍قَ‍‍ى‌ بِم‍‍َ‍ا‌ء‌ٍ‌ ‌وَ‌احِد‌ٍ‌ ‌وَنُفَ‍‍ضِّ‍‍لُ بَعْ‍‍ضَ‍‍هَا‌ عَلَى‌ بَعْ‍‍ضٍ‌ فِي ‌الأُكُلِ ۚ ‌إِنَّ فِي ‌ذَلِكَ لَآي‍‍َ‍ات‍ٍ‌ لِ‍‍قَ‍‍وْمٍ‌ يَعْ‍‍قِ‍‍لُونَ
Wa 'In Ta`jab Fa`ajabun Qawluhum 'A'idhā Kunnā Tubāan 'A'innā Lafī Khalqin Jadīdin ۗ 'Ūlā'ika Al-Ladhīna Kafarū Birabbihim ۖ Wa 'Ūlā'ika Al-'Aghlālu Fī 'A`nāqihim ۖ Wa 'Ūlā'ika 'Aşĥābu An-Nāri ۖ Hum Fīhā Khālidūna 5. Na kama ukistaajabu, basi cha ajabu zaidi ni huo usemi wao: Ati tukisha kuwa mchanga kweli tutakuwa katika umbo jipya? Hao ndio walio mkufuru Mola wao Mlezi. Na hao ndio watao kuwa na makongwa shingoni mwao, na hao ndio watu wa Motoni. Humo watadumu. وَ‌إِ‌نْ تَعْجَ‍‍بْ فَعَجَب‌‍ٌقَ‍‍وْلُهُمْ ‌أَئِذَ‌ا‌ كُ‍‍نَّ‍‍ا‌ تُ‍رَ‌اباً‌ ‌أَئِ‍‍نَّ‍‍ا‌ لَفِي خَ‍‍لْ‍‍ق‍ٍ‌ جَد‍ِ‍ي‍‍دٍ‌ ۗ ‌أ‍ُ‍‌وْل‍‍َ‍ائِكَ ‌الَّذ‍ِ‍ي‍‍نَ كَفَرُ‌و‌ا‌ بِ‍رَبِّهِمْ ۖ ‌وَ‌أ‍ُ‍‌وْل‍‍َ‍ائِكَ ‌الأَ‍‍غْ‍‍لاَلُ فِ‍‍ي ‌أَعْنَاقِ‍‍هِمْ ۖ ‌وَ‌أ‍ُ‍‌وْل‍‍َ‍ائِكَ ‌أَ‍صْ‍‍ح‍‍َ‍ابُ ‌ال‍‍نّ‍‍َ‍ا‌ر‍ِ‍‌ ۖ هُمْ فِيهَا‌ خَ‍‍الِدُ‌ونَ
Wa Yasta`jilūnaka Bis-Sayyi'ati Qabla Al-Ĥasanati Wa Qad Khalat Min Qablihimu Al-Mathulātu ۗ Wa 'Inna Rabbaka Ladhū Maghfiratin Lilnnāsi `Alá Žulmihim ۖ Wa 'Inna Rabbaka Lashadīdu Al-`Iqābi 6. Na wanakuhimiza ulete maovu kabla ya mema, hali ya kuwa zimekwisha pita kabla yao adhabu za kupigiwa mfano. Na hakika Mola wako Mlezi ni Mwenye msamaha kwa watu juu ya udhalimu wao. Na hakika Mola wako Mlezi ni Mkali wa kuadhibu. وَيَسْتَعْجِلُونَكَ بِ‍ال‍‍سَّيِّئَةِ قَ‍‍بْ‍‍لَ ‌الْحَسَنَةِ ‌وَ‍قَ‍‍دْ‌ خَ‍‍لَتْ مِ‍‌‍نْ قَ‍‍بْ‍‍لِهِمُ ‌الْمَثُلاَتُ ۗ ‌وَ‌إِنَّ ‌‍رَبَّكَ لَذُ‌و‌ مَ‍‍غْ‍‍فِ‍رَة‍ٍ‌ لِل‍‍نّ‍‍َ‍اسِ عَلَى‌ ظُ‍‍لْمِهِمْ ۖ ‌وَ‌إِنَّ ‌‍رَبَّكَ لَشَد‍ِ‍ي‍‍دُ‌ ‌الْعِ‍‍قَ‍‍ابِ
Wa Yaqūlu Al-Ladhīna Kafarū Lawlā 'Unzila `Alayhi 'Āyatun Min Rabbihi~ ۗ 'Innamā 'Anta Mundhirun ۖ Wa Likulli Qawmin Hādin 7. Na wale walio kufuru husema: Mbona hakuteremshiwa muujiza kutoka kwa Mola wake Mlezi? Hakika wewe ni Mwonyaji, na kila kaumu ina wa kuwaongoa. وَيَ‍قُ‍‍ولُ ‌الَّذ‍ِ‍ي‍‍نَ كَفَرُ‌و‌ا‌ لَوْلاَ‌ ‌أُ‌ن‍‍زِلَ عَلَ‍‍يْ‍‍هِ ‌آيَةٌ‌ مِ‍‌‍نْ ‌‍رَبِّهِ ۗ ‌إِنَّ‍‍مَ‍‍ا‌ ‌أَ‌نْ‍‍تَ مُ‍‌‍ن‍‍ذِ‌ر‌ٌۖ ‌وَلِكُلِّ قَ‍‍وْمٍ هَا‌دٍ
Al-Lahu Ya`lamu Mā Taĥmilu Kullu 'Unthá Wa Mā Taghīđu Al-'Arĥāmu Wa Mā Tazdādu ۖ Wa Kullu Shay'in `Indahu Bimiqdārin 8. Mwenyezi Mungu anajua mimba abebayo kila mwanamke, na kinacho punguka na kuzidi matumboni. Na kila kitu kwake ni kwa kipimo. اللَّهُ يَعْلَمُ مَا‌ تَحْمِلُ كُلُّ ‌أُ‌ن‍‍ثَى‌ ‌وَمَا‌ تَ‍‍غِ‍‍ي‍‍ضُ ‌الأَ‌رْح‍‍َ‍امُ ‌وَمَا‌ تَزْ‌د‍َ‍‌ا‌دُ‌ ۖ ‌وَكُلُّ شَ‍‍يْءٍ‌ عِ‍‌‍نْ‍‍دَهُ بِمِ‍‍قْ‍‍دَ‌ا‌رٍ
`Ālimu Al-Ghaybi Wa Ash-Shahādati Al-Kabīru Al-Muta`ālī 9. Yeye ndiye Mwenye kujua yanayo onekana na yasio onekana; Mkuu Aliye tukuka. عَالِمُ ‌الْ‍‍غَ‍‍يْ‍‍بِ ‌وَ‌ال‍‍شَّهَا‌دَةِ ‌الْكَب‍‍ِ‍ي‍‍رُ‌ ‌الْمُتَعَالِي
Sawā'un Minkum Man 'Asarra Al-Qawla Wa Man Jahara Bihi Wa Man Huwa Mustakhfin Bil-Layli Wa Sāribun Bin-Nahāri 10. Ni sawa anaye ficha kauli yake kati yenu na anaye idhihirisha, na anaye jibanza usiku na anaye tembea jahara mchana. سَو‍َ‍‌ا‌ء‌ٌ‌ مِ‍‌‍نْ‍‍كُمْ مَ‍‌‍نْ ‌أَسَ‍رَّ‌الْ‍‍قَ‍‍وْلَ ‌وَمَ‍‌‍نْ جَهَ‍رَ‌ بِ‍‍هِ ‌وَمَ‍‌‍نْ هُوَ‌ مُسْتَ‍‍خْ‍‍ف ٍ‌ بِ‍ال‍‍لَّ‍‍يْ‍‍لِ ‌وَسَا‌رِب‌‍ٌ‌ بِ‍ال‍‍نَّ‍‍هَا‌رِ
Lahu Mu`aqqibātun Min Bayni Yadayhi Wa Min Khalfihi Yaĥfažūnahu Min 'Amri Allāhi ۗ 'Inna Allāha Lā Yughayyiru Mā Biqawmin Ĥattá Yughayyirū Mā Bi'anfusihim ۗ Wa 'Idhā 'Arāda Allāhu Biqawmin Sū'āan Falā Maradda Lahu ۚ Wa Mā Lahum Min Dūnihi Min Wa A- 11. Kila mtu analo kundi la malaika mbele yake na nyuma yake linamlinda kwa amri ya Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu habadili yaliyoko kwa watu mpaka wabadili wao yaliyomo naf- sini mwao. Na Mwenyezi Mungu anapo watakia watu adhabu hakuna cha kuzuia wala hawana mlinzi yeyote badala yake. لَ‍‍هُ مُعَ‍‍قِّ‍‍ب‍‍َ‍اتٌ‌ مِ‍‌‍نْ بَ‍‍يْ‍‍نِ يَدَيْ‍‍هِ ‌وَمِ‍‌‍نْ خَ‍‍لْفِ‍‍هِ يَحْفَ‍‍ظُ‍‍ونَ‍‍هُ مِ‍‌‍نْ ‌أَمْ‍‍ر‍ِ‍‌ ‌اللَّ‍‍هِ ۗ ‌إِنَّ ‌اللَّ‍‍هَ لاَ‌ يُ‍‍غَ‍‍يِّ‍‍ر‍ُ‍‌ مَا‌ بِ‍‍قَ‍‍وْمٍ حَتَّى‌ يُ‍‍غَ‍‍يِّرُ‌و‌ا‌ مَا‌ بِأَ‌ن‍‍فُسِهِمْ ۗ ‌وَ‌إِ‌ذَ‌ا‌ ‌أَ‌رَ‍‌ا‌دَ‌ ‌اللَّ‍‍هُ بِ‍‍قَ‍‍وْم‌‍ٍ‌ س‍‍ُ‍و‌ء‌ا‌‌ ً‌ فَلاَ‌ مَ‍رَ‌دَّ‌ لَ‍‍هُ ۚ ‌وَمَا‌ لَهُمْ مِ‍‌‍نْ ‌دُ‌ونِ‍‍هِ مِ‍‌‍نْ ‌وَ‌الٍ
Huwa Al-Ladhī Yurīkumu Al-Barqa Khawfāan Wa Ţama`āan Wa Yunshi'u As-Saĥāba Ath-Thiqāla 12. Yeye ndiye anaye kuonyesheni umeme kwa khofu na tamaa, na huyaleta mawingu mazito. هُوَ‌ ‌الَّذِي يُ‍‍رِيكُمُ ‌الْبَرْ‍قَ خَ‍‍وْفا‌ ً‌ ‌وَ‍طَ‍‍مَعا‌ ً‌ ‌وَيُ‍‌‍نْ‍‍شِئُ ‌ال‍‍سَّح‍‍َ‍ابَ ‌ال‍‍ثِّ‍‍قَ‍‍الَ
Wa Yusabbiĥu Ar-Ra`du Biĥamdihi Wa Al-Malā'ikatu Min Khīfatihi Wa Yursilu Aş-Şawā`iqa Fayuşību Bihā Man Yashā'u Wa Hum Yujādilūna Fī Al-Lahi Wa Huwa Shadīdu Al-Miĥāli 13. Na radi inamtakasa Mwenyezi Mungu kwa kumhimidi, na Malaika pia, kwa kumkhofu. Naye hupeleka mapigo ya radi yakampata amtakaye. Nao wanabishana juu ya Mwenyezi Mungu. Na Yeye ni Mwenye adhabu kali! وَيُسَبِّحُ ‌ال‍رَّعْدُ‌ بِحَمْدِهِ ‌وَ‌الْمَلاَئِكَةُ مِ‍‌‍نْ خِ‍‍يفَتِ‍‍هِ ‌وَيُرْسِلُ ‌ال‍‍صَّ‍‍وَ‌اعِ‍‍قَ فَيُ‍‍صِ‍‍ي‍‍بُ بِهَا‌ مَ‍‌‍نْ يَش‍‍َ‍ا‌ءُ‌ ‌وَهُمْ يُجَا‌دِل‍‍ُ‍ونَ فِي ‌اللَّهِ ‌وَهُوَ‌ شَد‍ِ‍ي‍‍دُ‌ ‌الْمِحَالِ
Lahu Da`watu Al-Ĥaqqi Wa ۖ Al-Ladhīna Yad`ūna Min Dūnihi Lā Yastajībūna Lahum Bishay'in 'Illā Kabāsiţi Kaffayhi 'Ilá Al-Mā'i Liyablugha Fāhu Wa Mā Huwa Bibālighihi ۚ Wa Mā Du`ā'u Al-Kāfirīna 'Illā Fī Đalālin 14. Wa kuombwa kweli ni Yeye tu. Na hao wanao waomba badala yake hawawajibu chochote; bali ni kama mwenye kunyoosha viganja vyake kwenye maji ili yafike kinywani mwake, lakini hayafiki. Na maombi ya makafiri hayako ila katika upotovu. لَ‍‍هُ ‌دَعْوَةُ ‌الْحَ‍‍قِّ ۖ ‌وَ‌الَّذ‍ِ‍ي‍‍نَ يَ‍‍دْع‍‍ُ‍ونَ مِ‍‌‍نْ ‌دُ‌ونِ‍‍هِ لاَ‌ يَسْتَجِيب‍‍ُ‍ونَ لَهُمْ بِشَ‍‍يْء‌‌ٍ‌ ‌إِلاَّ‌ كَبَاسِ‍‍طِ كَفَّ‍‍يْ‍‍هِ ‌إِلَى‌ ‌الْم‍‍َ‍ا‌ءِ‌ لِيَ‍‍بْ‍‍لُ‍‍غَ ف‍‍َ‍اهُ ‌وَمَا‌ هُوَ‌ بِبَالِ‍‍غِ‍‍هِ ۚ ‌وَمَا‌ ‌دُع‍‍َ‍ا‌ءُ‌ ‌الْكَافِ‍‍ر‍ِ‍ي‍‍نَ ‌إِلاَّ‌ فِي ضَ‍‍لاَلٍ
Wa Lillāh Yasjudu Man As-Samāwāti Wa Al-'Arđi Ţaw`āan Wa Karhāan Wa Žilāluhum Bil-Ghudūwi Wa Al-'Āşāli 15. Na viliomo mbinguni na katika ardhi vinamsujudia Mwenyezi Mungu tu vikitaka visitake. Na pia vivuli vyao asubuhi na jioni. وَلِلَّهِ يَسْجُدُ‌ مَ‍‌‍نْ فِي ‌ال‍‍سَّمَا‌و‍َ‍‌اتِ ‌وَ‌الأَ‌رْ‍ضِ طَ‍‍وْعا‌ ً‌ ‌وَكَرْها‌ ً‌ ‌وَ‍ظِ‍‍لاَلُهُمْ بِ‍الْ‍‍غُ‍‍دُ‌وِّ‌ ‌وَ‌الآ‍‍صَ‍‍الِ
Qul Man Rabbu As-Samāwāti Wa Al-'Arđi Quli Allāhu ۚ Qul 'Afāttakhadhtum Min Dūnihi~ 'Awliyā'a Lā Yamlikūna Li'nfusihim Naf`āan Wa Lā Đaran ۚ Qul Hal Yastawī Al-'A`má Wa Al-Başīru 'Am Hal Tastawī Až-Žulumātu Wa An-Nūr ۗ 'Am Ja`alū Lillāh Shurakā'a Khalaqū Kakhalqihi Fatashābaha Al-Khalqu `Alayhim ۚ Quli Allāhu Khāliqu Kulli Shay'in Wa Huwa Al-Wāĥidu Al-Qahhāru 16. Sema: Ni nani Mola Mlezi wa mbingu na ardhi? Sema: Mwenyezi Mungu. Sema: Basi je, mnawafanya wenginewe badala yake kuwa ni walinzi, nao hawajifai wenyewe kwa jema wala baya? Sema: Hebu kipofu na mwenye kuona huwa sawa? Au hebu huwa sawa giza na mwangaza? Au wamemfanyia Mwenyezi Mungu washirika walio umba kama alivyo umba Yeye, na viumbe hivyo vikawadanganyikia? Sema: Mwenyezi Mungu ndiye Muumba wa kila kitu. Na Yeye ni Mmoja Mwenye kushinda! قُ‍‍لْ مَ‍‌‍نْ ‌‍رَبُّ ‌ال‍‍سَّمَا‌و‍َ‍‌اتِ ‌وَ‌الأَ‌رْ‍ضِ قُ‍‍لِ ‌اللَّ‍‍هُ ۚ قُ‍‍لْ ‌أَف‍‍َ‍اتَّ‍‍خَ‍‍ذْتُمْ مِ‍‌‍نْ ‌دُ‌ونِهِ ‌أَ‌وْلِي‍‍َ‍ا‌ءَ‌ لاَ‌ يَمْلِك‍‍ُ‍ونَ لِأ‌ن‍‍فُسِهِمْ نَفْعا‌ ً‌ ‌وَلاَ‌ ضَ‍‍رّ‌ا‌‌ ًۚ قُ‍‍لْ هَلْ يَسْتَوِي ‌الأَعْمَى‌ ‌وَ‌الْبَ‍‍صِ‍‍ي‍‍رُ‌ ‌أَمْ هَلْ تَسْتَوِي ‌ال‍‍ظُّ‍‍لُم‍‍َ‍اتُ ‌وَ‌ال‍‍نُّ‍‍و‌ر‌ ۗ ‌أَمْ جَعَلُو‌الِلَّهِ شُ‍رَك‍‍َ‍ا‌ءَ‌ خَ‍‍لَ‍‍قُ‍‍و‌ا‌ كَ‍‍خَ‍‍لْ‍‍قِ‍‍هِ فَتَشَابَهَ ‌الْ‍‍خَ‍‍لْ‍‍قُ عَلَيْهِمْ ۚ قُ‍‍لِ ‌اللَّ‍‍هُ خَ‍‍الِ‍‍قُ كُلِّ شَ‍‍يْء‌ٍ‌ ‌وَهُوَ‌ ‌الْوَ‌احِدُ‌ ‌الْ‍‍قَ‍‍هَّا‌رُ
'Anzala Mina As-Samā'i Mā'an Fasālat 'Awdiyatun Biqadarihā Fāĥtamala As-Saylu Zabadāan bīāan ۚ Wa Mimmā Yūqidūna `Alayhi Fī An-Nāri Abtighā'a Ĥilyatin 'Aw Matā`in Zabadun Mithluhu ۚ Kadhālika Yađribu Allāhu Al-Ĥaqqa Wa Al-Bāţila ۚ Fa'ammā Az-Zabadu Fayadh/habu Jufā'an ۖ Wa 'Ammā Mā Yanfa`u An-Nāsa Fayamkuthu Fī Al-'Arđi ۚ Kadhālika Yađribu Allāhu Al-'Amthāla 17. Ameteremsha maji kutoka mbinguni. Na mabonde yakamiminika maji kwa kadiri yake. Na mafuriko yakachukua mapovu yaliyo kusanyika juu yake. Na kutokana na wanavyo yayusha katika moto kwa kutaka mapambo au vyombo hutokea povu vile vile. Namna hivyo Mwenyezi Mungu ndivyo anavyo piga mifano ya Haki na baat'ili. Basi lile povu linapita kama takataka tu basi. Ama kinacho wafaa watu hubakia kwenye ardhi. Hivi ndivyo Mwenyezi Mungu anavyo piga mifano. أَ‌ن‍‍زَلَ مِنَ ‌ال‍‍سَّم‍‍َ‍ا‌ءِ‌ م‍‍َ‍ا‌ء‌‌ ً‌ فَسَالَتْ ‌أَ‌وْ‌دِيَة‌‍ٌ‌ بِ‍‍قَ‍‍دَ‌رِهَا‌ فَاحْتَمَلَ ‌ال‍‍سَّ‍‍يْ‍‍لُ ‌زَبَد‌ا‌ ً‌ ‌‍رَ‌اب‍‍ِ‍ي‍‍ا‌ ًۚ ‌وَمِ‍‍مَّ‍‍ا‌ يُوقِ‍‍د‍ُ‍‌ونَ عَلَ‍‍يْ‍‍هِ فِي ‌ال‍‍نّ‍‍َ‍ا‌ر‍ِ‍‌ ‌ابْ‍‍تِ‍‍غَ‍‍ا‌ءَ‌ حِلْيَةٍ ‌أَ‌وْ‌ مَت‍‍َ‍اع‌‍ٍ‌ ‌زَبَد‌ٌ‌ مِثْلُ‍‍هُ ۚ كَذَلِكَ يَ‍‍ضْ‍‍رِبُ ‌اللَّ‍‍هُ ‌الْحَ‍‍قَّ ‌وَ‌الْبَاطِ‍‍لَ ۚ فَأَمَّ‍‍ا‌ ‌ال‍‍زَّبَدُ‌ فَيَذْهَبُ جُف‍‍َ‍ا‌ء‌ ًۖ ‌وَ‌أَمَّ‍‍ا‌ مَا‌ يَ‍‌‍ن‍‍فَعُ ‌ال‍‍نّ‍‍َ‍اسَ فَيَمْكُثُ فِي ‌الأَ‌رْ‍ضِ ۚ كَذَلِكَ يَ‍‍ضْ‍‍رِبُ ‌اللَّ‍‍هُ ‌الأَمْثَالَ
Lilladhīna Astajābū Lirabbihimu Al-Ĥusná Wa ۚ Al-Ladhīna Lam Yastajībū Lahu Law 'Anna Lahum Mā Fī Al-'Arđi Jamī`āan Wa Mithlahu Ma`ahu Lāftadaw Bihi~ ۚ 'Ūlā'ika Lahum Sū'u Al-Ĥisābi Wa Ma'wāhum Jahannamu ۖ Wa Bi'sa Al-Mihādu 18. Walio muitikia Mola wao Mlezi watapata wema. Na wasio muitikia, hata wangeli kuwa navyo vyote viliomo katika ardhi na mfano wa hivyo, bila ya shaka wangeli vitoa kujikombolea! Hao watapata hisabu mbaya kabisa, na makao yao ni Jahannamu. Na hapo ni pahala pabaya mno! لِلَّذ‍ِ‍ي‍‍نَ ‌اسْتَجَابُو‌ا‌ لِ‍رَبِّهِمُ ‌الْحُسْنَى‌ ۚ ‌وَ‌الَّذ‍ِ‍ي‍‍نَ لَمْ يَسْتَجِيبُو‌ا‌ لَ‍‍هُ لَوْ‌ ‌أَنَّ لَهُمْ مَا‌ فِي ‌الأَ‌رْ‍ضِ جَمِيعا‌ ً‌ ‌وَمِثْلَ‍‍هُ مَعَ‍‍هُ لاَفْتَدَ‌وْ‌ا‌ بِهِ ۚ ‌أ‍ُ‍‌وْل‍‍َ‍ائِكَ لَهُمْ س‍‍ُ‍و‌ءُ‌ ‌الْحِس‍‍َ‍ابِ ‌وَمَأْ‌وَ‌اهُمْ جَهَ‍‍نَّ‍‍مُ ۖ ‌وَبِئْسَ ‌الْمِهَا‌دُ
'Afaman Ya`lamu 'Annamā 'Unzila 'Ilayka Min Rabbika Al-Ĥaqqu Kaman Huwa 'A`má ۚ 'Innamā Yatadhakkaru 'Ūlū Al-'Albābi 19. Je! Anaye jua ya kwamba yaliyo teremshwa kwako kutoka kwa Mola wako Mlezi ni Haki ni sawa na aliye kipofu? Wenye akili ndio wanao zingatia, أَفَمَ‍‌‍نْ يَعْلَمُ ‌أَنَّ‍‍مَ‍‍ا‌ ‌أُ‌ن‍‍زِلَ ‌إِلَ‍‍يْ‍‍كَ مِ‍‌‍نْ ‌‍رَبِّكَ ‌الْحَ‍‍قُّ كَمَ‍‌‍نْ هُوَ‌ ‌أَعْمَ‍‍ىۚ ‌إِنَّ‍‍مَا‌ يَتَذَكَّرُ‌ ‌أ‍ُ‍‌وْلُو‌ا‌الأَلْبَابِ
Al-Ladhīna Yūfūna Bi`ahdi Allāhi Wa Lā Yanqūna Al-Mīthāqa 20. Wale ambao wanatimiza ahadi ya Mwenyezi Mungu, wala hawavunji maagano. الَّذ‍ِ‍ي‍‍نَ يُوف‍‍ُ‍ونَ بِعَهْدِ‌ ‌اللَّ‍‍هِ ‌وَلاَ‌ يَ‍‌‍ن‍‍قُ‍‍ضُ‍‍ونَ ‌الْمِيثَاقَ
Wa Al-Ladhīna Yaşilūna Mā 'Amara Allāhu Bihi~ 'Anşala Wa Yakhshawna Rabbahum Wa Yakhāfūna Sū'a Al-Ĥisābi 21. Na wale ambao huyaunga aliyo amrisha Mwenyezi Mungu yaungwe, na wanaikhofu hisabu mbaya. وَ‌الَّذ‍ِ‍ي‍‍نَ يَ‍‍صِ‍‍ل‍‍ُ‍ونَ مَ‍‍ا‌ ‌أَمَ‍رَ‌اللَّ‍‍هُ بِهِ ‌أَ‌نْ يُوصَ‍‍لَ ‌وَيَ‍‍خْ‍‍شَ‍‍وْنَ ‌‍رَبَّهُمْ ‌وَيَ‍‍خَ‍‍اف‍‍ُ‍ونَ س‍‍ُ‍و‌ءَ‌ ‌الْحِسَابِ
Wa Al-Ladhīna Şabarū Abtighā'a Wajhi Rabbihim Wa 'Aqāmū Aş-Şalāata Wa 'Anfaqū Mimmā Razaqnāhum Siran Wa `Alāniyatan Wa Yadra'ūna Bil-Ĥasanati As-Sayyi'ata 'Ūlā'ika Lahum `Uq Ad-Dāri 22. Na ambao husubiri kwa kutaka radhi ya Mola wao Mlezi, na wakashika Sala, na wakatoa, kwa siri na kwa uwazi, katika tulivyo wapa; na wakayaondoa maovu kwa wema. Hao ndio watakao pata malipo ya Nyumba ya Akhera. وَ‌الَّذ‍ِ‍ي‍‍نَ صَ‍‍بَرُ‌و‌ا‌ابْ‍‍تِ‍‍غَ‍‍ا‌ءَ‌ ‌وَجْ‍‍هِ ‌‍رَبِّهِمْ ‌وَ‌أَ‍قَ‍‍امُو‌ا‌ال‍‍صَّ‍‍لاَةَ ‌وَ‌أَ‌ن‍‍فَ‍‍قُ‍‍و‌ا‌ مِ‍‍مَّ‍‍ا‌ ‌‍رَ‌زَ‍قْ‍‍نَاهُمْ سِ‍‍ر‍ّ‍‌ا‌ ً‌ ‌وَعَلاَنِيَة ً‌ ‌وَيَ‍‍دْ‌‍رَ‌ء‍ُ‍‌ونَ بِ‍الْحَسَنَةِ ‌ال‍‍سَّيِّئَةَ ‌أ‍ُ‍‌وْل‍‍َ‍ائِكَ لَهُمْ عُ‍‍قْ‍‍بَى‌ ‌ال‍‍دَّ‌ا‌رِ
Jannātu `Adnin Yadkhulūnahā Wa Man Şalaĥa Min 'Ābā'ihim Wa 'Azwājihim Wa Dhurrīyātihim Wa ۖ Al-Malā'ikatu Yadkhulūna `Alayhim Min Kulli Bābin 23. Nayo ni Bustani za milele, wataziingia wao na walio wema miongoni mwa baba zao, na wake zao, na vizazi vyao. Na Malaika wanawaingilia katika kila mlango. جَ‍‍نّ‍‍َ‍اتُ عَ‍‍دْنٍ‌ يَ‍‍دْ‍‍خُ‍‍لُونَهَا‌ ‌وَمَ‍‌‍نْ صَ‍‍لَحَ مِ‍‌‍نْ ‌آب‍‍َ‍ائِهِمْ ‌وَ‌أَ‌زْ‌وَ‌اجِهِمْ ‌وَ‌ذُ‌رِّيَّاتِهِمْ ۖ ‌وَ‌الْمَلاَئِكَةُ يَ‍‍دْ‍‍خُ‍‍ل‍‍ُ‍ونَ عَلَيْهِمْ مِ‍‌‍نْ كُلِّ بَابٍ
Salāmun `Alaykum Bimā Şabartum ۚ Fani`ma `Uq Ad-Dāri 24.(Wakiwaambia) Assalamu Alaikum! Amani iwe juu yenu, kwa sababu ya mlivyo subiri! Basi ni mema mno malipo ya Nyumba ya Akhera. سَلاَمٌ عَلَيْكُمْ بِمَا‌ صَ‍‍بَرْتُمْ ۚ فَنِعْمَ عُ‍‍قْ‍‍بَى‌ ‌ال‍‍دَّ‌ا‌رِ
Wa Al-Ladhīna Yanqūna `Ahda Allāhi Min Ba`di Mīthāqihi Wa Yaqţa`ūna Mā 'Amara Allāhu Bihi~ 'Anşala Wa Yufsidūna Fī Al-'Arđi ۙ 'Ūlā'ika Lahumu Al-La`natu Wa Lahum Sū'u Ad-Dāri 25. Na wale wanao vunja ahadi ya Mwenyezi Mungu baada ya kuzifunga, na wanakata aliyo amrisha Mwenyezi Mungu yaungwe, na wanafanya fisadi katika nchi: hao ndio watakao pata laana, na watapata Nyumba mbaya. وَ‌الَّذ‍ِ‍ي‍‍نَ يَ‍‌‍ن‍‍قُ‍‍ضُ‍‍ونَ عَهْدَ‌ ‌اللَّ‍‍هِ مِ‍‌‍نْ بَعْدِ‌ مِيثَاقِ‍‍هِ ‌وَيَ‍‍قْ‍‍‍‍طَ‍‍ع‍‍ُ‍ونَ مَ‍‍ا‌ ‌أَمَ‍رَ‌اللَّ‍‍هُ بِهِ ‌أَ‌نْ يُوصَ‍‍لَ ‌وَيُفْسِد‍ُ‍‌ونَ فِي ‌الأَ‌رْ‍ضِ ۙ ‌أ‍ُ‍‌وْل‍‍َ‍ائِكَ لَهُمُ ‌ال‍‍لَّعْنَةُ ‌وَلَهُمْ س‍‍ُ‍و‌ءُ‌ ‌ال‍‍دَّ‌ا‌رِ
Al-Lahu Yabsuţu Ar-Rizqa Liman Yashā'u Wa Yaqdiru ۚ Wa Fariĥū Bil-Ĥayāati Ad-Dunyā Wa Mā Al-Ĥayāatu Ad-Dunyā Fī Al-'Ākhirati 'Illā Matā`un 26. Mwenyezi Mungu humkunjulia riziki amtakaye, na humkunjia kwa kipimo. Na wamefurahia maisha ya dunia. Na uhai wa dunia kwa kulingana na Akhera si kitu ila ni starehe ndogo. اللَّهُ يَ‍‍بْ‍‍سُ‍‍طُ ‌ال‍‍رِّ‌زْ‍قَ لِمَ‍‌‍نْ يَش‍‍َ‍ا‌ءُ‌ ‌وَيَ‍‍قْ‍‍دِ‌ر‍ُ‍‌ ۚ ‌وَفَ‍‍رِحُو‌ا‌ بِ‍الْحَي‍‍َ‍اةِ ‌ال‍‍دُّ‌نْ‍‍يَا‌ ‌وَمَا‌ ‌الْحَي‍‍َ‍اةُ ‌ال‍‍دُّ‌نْ‍‍يَا‌ فِي ‌الآ‍‍خِ‍رَةِ ‌إِلاَّ‌ مَتَاعٌ
Wa Yaqūlu Al-Ladhīna Kafarū Lawlā 'Unzila `Alayhi 'Āyatun Min Rabbihi ۗ Qul 'Inna Allāha Yuđillu Man Yashā'u Wa Yahdī 'Ilayhi Man 'Anāba 27. Na wanasema walio kufuru: Kwa nini hakuteremshiwa muujiza kutoka kwa Mola wake Mlezi. Sema: Hakika Mwenyezi Mungu humwacha kupotea amtakaye, na humwongoa anaye elekea kwake, وَيَ‍قُ‍‍ولُ ‌الَّذ‍ِ‍ي‍‍نَ كَفَرُ‌و‌ا‌ لَوْلاَ‌ ‌أُ‌ن‍‍زِلَ عَلَ‍‍يْ‍‍هِ ‌آيَةٌ‌ مِ‍‌‍نْ ‌‍رَبِّ‍‍هِ ۗ قُ‍‍لْ ‌إِنَّ ‌اللَّ‍‍هَ يُ‍‍ضِ‍‍لُّ مَ‍‌‍نْ يَش‍‍َ‍ا‌ءُ‌ ‌وَيَهْدِي ‌إِلَ‍‍يْ‍‍هِ مَ‍‌‍نْ ‌أَنَابَ
Al-Ladhīna 'Āmanū Wa Taţma'innu Qulūbuhum Bidhikri Allāhi ۗ 'Alā Bidhikri Allāhi Taţma'innu Al-Qulūbu 28. Wale walio amini na zikatua nyoyo zao kwa kumkumbuka Mwenyezi Mungu. Hakika kwa kumkumbuka Mwenyezi Mungu ndio nyoyo hutua! الَّذ‍ِ‍ي‍‍نَ ‌آمَنُو‌ا‌ ‌وَتَ‍‍طْ‍‍مَئِ‍‍نُّ قُ‍‍لُوبُهُمْ بِذِكْ‍‍ر‍ِ‍‌ ‌اللَّ‍‍هِ ۗ ‌أَلاَ‌ بِذِكْ‍‍ر‍ِ‍‌ ‌اللَّ‍‍هِ تَ‍‍طْ‍‍مَئِ‍‍نُّ ‌الْ‍‍قُ‍‍لُوبُ
Al-Ladhīna 'Āmanū Wa `Amilū Aş-Şāliĥāti Ţūbá Lahum Wa Ĥusnu Ma'ābin 29. Wale walio amini na wakatenda mema watakuwa na raha na marejeo mazuri. الَّذ‍ِ‍ي‍‍نَ ‌آمَنُو‌ا‌ ‌وَعَمِلُو‌ا‌ال‍‍صَّ‍‍الِح‍‍َ‍اتِ طُ‍‍وبَى‌ لَهُمْ ‌وَحُسْنُ مَآبٍ
Kadhālika 'Arsalnāka Fī 'Ummatin Qad Khalat Min Qablihā 'Umamun Litatluwa `Alayhimu Al-Ladhī 'Awĥaynā 'Ilayka Wa Hum Yakfurūna Bir-Raĥmani ۚ Qul Huwa Rabbī Lā 'Ilāha 'Illā Huwa `Alayhi Tawakkaltu Wa 'Ilayhi Matābi 30. Ndio kama hivi tumekutuma kwa umma ambao wamekwsiha pita kabla yao umati nyengine, ili uwasomee tunayo kufunulia, na wao wanamkufuru Rahmani, Mwingi wa Rehema! Sema: Yeye ndiye Mola wangu Mlezi. Hapana mungu isipo kuwa Yeye. Juu yake nimetegemea, na kwake ndio marejeo yangu! كَذَلِكَ ‌أَ‌رْسَلْن‍‍َ‍اكَ فِ‍‍ي ‌أُمَّ‍‍ة‌‍ٍقَ‍‍دْ‌ خَ‍‍لَتْ مِ‍‌‍نْ قَ‍‍بْ‍‍لِهَ‍‍ا‌ ‌أُمَم ٌ‌ لِتَتْلُوَ‌ عَلَيْهِمُ ‌الَّذِي ‌أَ‌وْحَيْنَ‍‍ا‌ ‌إِلَ‍‍يْ‍‍كَ ‌وَهُمْ يَكْفُر‍ُ‍‌ونَ بِ‍ال‍رَّحْمَنِ ۚ قُ‍‍لْ هُوَ‌ ‌‍رَبِّي لاَ‌ ‌إِلَهَ ‌إِلاَّ‌ هُوَ‌ عَلَ‍‍يْ‍‍هِ تَوَكَّلْتُ ‌وَ‌إِلَ‍‍يْ‍‍هِ مَتَابِ
Wa Law 'Anna Qur'ānāan Suyyirat Bihi Al-Jibālu 'Aw Quţţi`at Bihi Al-'Arđu 'Aw Kullima Bihi Al-Mawtá ۗ Bal Lillāh Al-'Amru Jamī`āan ۗ 'Afalam Yay'asi Al-Ladhīna 'Āmanū 'An Law Yashā'u Allāhu Lahadá An-Nāsa Jamī`āan ۗ Wa Lā Yazālu Al-Ladhīna Kafarū Tuşībuhum Bimā Şana`ū Qāri`atun 'Aw Taĥullu Qarībāan Minrihim Ĥattá Ya'tiya Wa`du Allāhi ۚ 'Inna Allāha Lā Yukhlifu Al-Mī`āda 31. Na kama ingeli kuwako Qur'ani ndiyo inayo endeshewa milima, na kupasuliwa ardhi, na kusemeshewa wafu, (basi ingeli kuwa Qur'ani hii). Bali mambo yote ni ya Mwenyezi Mungu. Je, hawajajua walio amini kwamba lau kuwa Mwenyezi Mungu ange penda bila ya shaka angeli waongoa watu wote? Wala walio kufuru hawaachi kusibiwa na balaa kwa waliyo yatenda, au ikawateremkia karibu na nyumbani kwao, mpaka ifike ahadi ya Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu havunji miadi yake. وَلَوْ‌ ‌أَنَّ قُ‍‍رْ‌آنا‌‌ ً‌ سُيِّ‍رَتْ بِهِ ‌الْجِب‍‍َ‍الُ ‌أَ‌وْ‌ قُ‍‍طِّ‍‍عَتْ بِهِ ‌الأَ‌رْ‍ضُ ‌أَ‌وْ‌ كُلِّمَ بِهِ ‌الْمَوْتَى‌ ۗ بَلْ لِلَّهِ ‌الأَمْرُ‌ جَمِيعاً‌ ۗ ‌أَفَلَمْ يَ‍‍يْ‍‍ئَسِ ‌الَّذ‍ِ‍ي‍‍نَ ‌آمَنُ‍‍و‌ا‌ ‌أَ‌نْ لَوْ‌ يَش‍‍َ‍ا‌ءُ‌ ‌اللَّ‍‍هُ لَهَدَ‌ى‌ ‌ال‍‍نّ‍‍َ‍اسَ جَمِيعا‌ ًۗ ‌وَلاَ‌ يَز‍َ‍‌الُ ‌الَّذ‍ِ‍ي‍‍نَ كَفَرُ‌و‌ا‌ تُ‍‍صِ‍‍يبُهُمْ بِمَا‌ صَ‍‍نَعُو‌اقَ‍‍ا‌رِعَةٌ ‌أَ‌وْ‌ تَحُلُّ قَ‍‍رِيبا‌ ً‌ مِ‍‌‍نْ ‌دَ‌ا‌رِهِمْ حَتَّى‌ يَأْتِيَ ‌وَعْدُ‌ ‌اللَّ‍‍هِ ۚ ‌إِنَّ ‌اللَّ‍‍هَ لاَ‌ يُ‍‍خْ‍‍لِفُ ‌الْمِيعَا‌دَ
Wa Laqadi Astuhzi'a Birusulin Min Qablika Fa'amlaytu Lilladhīna Kafarū Thumma 'Akhadhtuhum ۖ Fakayfa Kāna `Iqābi 32. Na hakika walifanyiwa kejeli Mitume walio kuwa kabla yako. Na nikawapururia wale walio kufuru, kisha nikawashika! Basi ilikuwaje adhabu yangu! وَلَ‍قَ‍‍دِ‌ ‌اسْتُهْزِئَ بِرُسُلٍ‌ مِ‍‌‍نْ قَ‍‍بْ‍‍لِكَ فَأَمْلَ‍‍يْ‍‍تُ لِلَّذ‍ِ‍ي‍‍نَ كَفَرُ‌و‌ا‌ ثُ‍‍مَّ ‌أَ‍خَ‍‍ذْتُهُمْ ۖ فَكَ‍‍يْ‍‍فَ ك‍‍َ‍انَ عِ‍‍قَ‍‍ابِ
'Afaman Huwa Qā'imun `Alá Kulli Nafsin Bimā Kasabat ۗ Wa Ja`alū Lillāh Shurakā'a Qul Sammūhum ۚ 'Am Tunabbi'ūnahu Bimā Lā Ya`lamu Fī Al-'Arđi 'Am Bižāhirin Mina Al-Qawli ۗ Bal Zuyyina Lilladhīna Kafarū Makruhum Wa Şuddū `Ani As-Sabīli ۗ Wa Man Yuđlili Allāhu Famā Lahu Min Hādin 33. Je! Anaye isimamia kila nafsi kwa yale iliyo yachuma...? Na wamemfanyia Mwenyezi Mungu kuwa na washirika! Sema watajeni. Au ndio mnampa khabari ya yale asiyo yajua katika ardhi; au ni maneno matupu? Bali walio kufuru wamepambiwa vitimbi vyao na wamezuiliwa njia. Na ambaye Mwenyezi Mungu amemwacha apotee basi hana wa kumwongoa. أَفَمَ‍‌‍نْ هُوَ‌ قَ‍‍ائِمٌ عَلَى‌ كُلِّ نَفْس ٍ‌ بِمَا‌ كَسَبَتْ ۗ ‌وَجَعَلُو‌الِلَّهِ شُ‍رَك‍‍َ‍ا‌ءَ‌ قُ‍‍لْ سَ‍‍مُّ‍‍وهُمْ ۚ ‌أَمْ تُنَبِّئ‍‍ُ‍‍ونَ‍‍هُ بِمَا‌ لاَ‌ يَعْلَمُ فِي ‌الأَ‌رْ‍ضِ ‌أَمْ بِ‍‍ظَ‍‍اهِ‍‍ر‌ٍ‌ مِنَ ‌الْ‍‍قَ‍‍وْلِ ۗ بَلْ ‌زُيِّنَ لِلَّذ‍ِ‍ي‍‍نَ كَفَرُ‌و‌ا‌ مَكْرُهُمْ ‌وَ‍صُ‍‍دُّ‌و‌ا‌ عَنِ ‌ال‍‍سَّب‍‍ِ‍ي‍‍لِ ۗ ‌وَمَ‍‌‍نْ يُ‍‍ضْ‍‍لِلِ ‌اللَّ‍‍هُ فَمَا‌ لَ‍‍هُ مِ‍‌‍نْ هَا‌دٍ
Lahum `Adhābun Al-Ĥayāati Ad-Dunۖ Wa La`adhābu Al-'Ākhirati 'Ashaqqu ۖ Wa Mā Lahum Mina Allāhi Min Wāqin 34. Wanayo adhabu katika maisha ya dunia, na adhabu ya Akhera hapana shaka ina mashaka zaidi. Na wala hawatakuwa na wa kuwalinda na Mwenyezi Mungu. لَهُمْ عَذ‍َ‍‌اب‌‍ٌ‌ فِي ‌الْحَي‍‍َ‍اةِ ‌ال‍‍دُّ‌نْ‍‍يَا‌ ۖ ‌وَلَعَذ‍َ‍‌ابُ ‌الآ‍‍خِ‍رَةِ ‌أَشَ‍‍قُّ ۖ ‌وَمَا‌ لَهُمْ مِنَ ‌اللَّ‍‍هِ مِ‍‌‍نْ ‌وَ‌اقٍ
Mathalu Al-Jannati Allatī Wu`ida Al-Muttaqūna ۖ Tajrī Min Taĥtihā Al-'Anhāru ۖ 'Ukuluhā Dā'imun Wa Žilluhā ۚ Tilka `Uq Al-Ladhīna Attaqaw ۖ Wa `Uq Al-Kāfirīna An-Nāru 35. Mfano wa Bustani waliyo ahidiwa wachamngu, kati yake inapita mito, matunda yake ni ya daima, na pia kivuli chake. Huu ndio mwisho wa wale walio walio jilinda. Na mwisho wa makafiri ni Moto. مَثَلُ ‌الْجَ‍‍نَّ‍‍ةِ ‌الَّتِي ‌وُعِدَ‌ ‌الْمُتَّ‍‍قُ‍‍ونَ ۖ تَ‍‍جْ‍‍رِي مِ‍‌‍نْ تَحْتِهَا‌ ‌الأَ‌نْ‍‍ه‍‍َ‍ا‌رُ‌ ۖ ‌أُكُلُهَا‌ ‌د‍َ‍‌ائِمٌ‌ ‌وَ‍ظِ‍‍لُّهَا‌ ۚ تِلْكَ عُ‍‍قْ‍‍بَى‌ ‌الَّذ‍ِ‍ي‍‍نَ ‌اتَّ‍‍قَ‍‍و‌ا‌ ۖ ‌وَعُ‍‍قْ‍‍بَى‌ ‌الْكَافِ‍‍ر‍ِ‍ي‍‍نَ ‌ال‍‍نَّ‍‍ا‌رُ
Wa Al-Ladhīna 'Ātaynāhumu Al-Kitāba Yafraĥūna Bimā 'Unzila 'Ilayka ۖ Wa Mina Al-'Aĥzābi Man Yunkiru Ba`đahu ۚ Qul 'Innamā 'Umirtu 'An 'A`buda Allāha Wa Lā 'Ushrika Bihi~ ۚ 'Ilayhi 'Ad`ū Wa 'Ilayhi Ma'ābi 36. Na tulio wapa Kitabu wanafurahia uliyo teremshiwa. Na katika makundi mengine wapo wanao yakataa baadhi ya haya. Sema: Nimeamrishwa nimuabudu Mwenyezi Mungu, na wala nisimshirikishe. Kuendea kwake Yeye ndiyo ninaita, na kwake Yeye ndio marejeo yangu. وَ‌الَّذ‍ِ‍ي‍‍نَ ‌آتَيْنَاهُمُ ‌الْكِت‍‍َ‍ابَ يَفْ‍رَح‍‍ُ‍ونَ بِمَ‍‍ا‌ ‌أُ‌ن‍‍زِلَ ‌إِلَ‍‍يْ‍‍كَ ۖ ‌وَمِنَ ‌الأَحْز‍َ‍‌ابِ مَ‍‌‍نْ يُ‍‌‍ن‍‍كِ‍‍ر‍ُ‍‌ بَعْ‍‍ضَ‍‍هُ ۚ قُ‍‍لْ ‌إِنَّ‍‍مَ‍‍ا‌ ‌أُمِ‍‍رْتُ ‌أَ‌نْ ‌أَعْبُدَ‌ ‌اللَّ‍‍هَ ‌وَلاَ‌ ‌أُشْ‍‍رِكَ بِهِ ۚ ‌إِلَ‍‍يْ‍‍هِ ‌أَ‌دْعُو‌ ‌وَ‌إِلَ‍‍يْ‍‍هِ مَآبِ
Wa Kadhalika 'Anzalnāhu Ĥukmāan `Arabīyāan ۚ Wa La'ini Attaba`ta 'Ahwā'ahum Ba`damā Jā'aka Mina Al-`Ilmi Mā Laka Mina Allāhi Min Wa Līyin Wa Lā Wāqin 37. Na ndio kama hivi tumeiteremsha Qur'ani kuwa ni hukumu kwa lugha ya Kiarabu. Na ukifuata matamanio yao baada ya kukujia ilimu hii, hutakuwa na rafiki wala mlinzi mbele ya Mwenyezi Mungu. وَكَذَلِكَ ‌أَ‌ن‍‍زَلْن‍‍َ‍اهُ حُكْماً‌ عَ‍رَبِيّا‌ ًۚ ‌وَلَئِنِ ‌اتَّبَعْتَ ‌أَهْو‍َ‍‌ا‌ءَهُمْ بَعْدَمَا‌ ج‍‍َ‍ا‌ءَكَ مِنَ ‌الْعِلْمِ مَا‌ لَكَ مِنَ ‌اللَّ‍‍هِ مِ‍‌‍نْ ‌وَلِيٍّ‌ ‌وَلاَ‌ ‌وَ‌اقٍ
Wa Laqad 'Arsalnā Rusulāan Min Qablika Wa Ja`alnā Lahum 'Azwājāan Wa Dhurrīyatan ۚ Wa Mā Kāna Lirasūlin 'An Ya'tiya Bi'āyatin 'Illā Bi'idhni Allāhi ۗ Likulli 'Ajalin Kitābun 38. Na hakika Sisi tulikwisha watuma Mitume kabla yako, na tukajaalia wawe na wake na dhuriya. Na haiwi kwa Mtume kuleta miujiza isipo kuwa kwa idhini ya Mwenyezi Mungu. Kila kipindi kina hukumu yake. وَلَ‍قَ‍‍دْ‌ ‌أَ‌رْسَلْنَا‌ ‌رُسُلا‌ ً‌ مِ‍‌‍نْ قَ‍‍بْ‍‍لِكَ ‌وَجَعَلْنَا‌ لَهُمْ ‌أَ‌زْ‌وَ‌اجا‌ ً‌ ‌وَ‌ذُ‌رِّيَّة ًۚ ‌وَمَا‌ ك‍‍َ‍انَ لِ‍رَس‍‍ُ‍ولٍ ‌أَ‌نْ يَأْتِيَ بِآيَة‌‍ٍ‌ ‌إِلاَّ‌ بِإِ‌ذْنِ ‌اللَّ‍‍هِ ۗ لِكُلِّ ‌أَجَل‌‍ٍ‌ كِتَابٌ
Yamĥū Allahu Mā Yashā'u Wa Yuthbitu ۖ Wa `Indahu~ 'Ummu Al-Kitābi 39. Mwenyezi Mungu hufuta na huthibitisha ayatakayo. Na asili ya hukumu zote iko kwake. يَمْحُو‌ا‌اللَّهُ مَا‌ يَش‍‍َ‍ا‌ءُ‌ ‌وَيُثْبِتُ ۖ ‌وَعِ‍‌‍نْ‍‍دَهُ~ُ ‌أُمُّ ‌الْكِتَابِ
Wa 'In Mā Nuriyannaka Ba`đa Al-Ladhī Na`iduhum 'Aw Natawaffayannaka Fa'innamā `Alayka Al-Balāghu Wa `Alaynā Al-Ĥisābu 40. Na ikiwa tukikuonyesha baadhi ya tuliyo waahidi au tukakufisha kabla yake, juu yako wewe ni kufikisha ujumbe na juu yetu ni hisabu. وَ‌إِ‌نْ مَا‌ نُ‍‍رِيَ‍‍نَّ‍‍كَ بَعْ‍‍ضَ ‌الَّذِي نَعِدُهُمْ ‌أَ‌وْ‌ نَتَوَفَّيَ‍‍نَّ‍‍كَ فَإِنَّ‍‍مَا‌ عَلَ‍‍يْ‍‍كَ ‌الْبَلاَ‍‍غُ ‌وَعَلَيْنَا‌ ‌الْحِسَابُ
'Awalam Yaraw 'Annā Na'tī Al-'Arđa Nanquşuhā Min 'Aţfihā Wa ۚ Allāhu Yaĥkumu Lā Mu`aqqiba Liĥukmihi ۚ Wa Huwa Sarī`u Al-Ĥisābi 41. Je! Hawakuona kwamba tunaifikia ardhi tukiipunguza nchani mwake? Na Mwenyezi Mungu huhukumu, na hapana wa kupinga hukumu yake, naye ni Mwepesi wa kuhisabu. أَ‌وَلَمْ يَ‍رَ‌وْ‌ا‌ ‌أَنَّ‍‍ا‌ نَأْتِي ‌الأَ‌رْ‍ضَ نَ‍‌‍نْ‍‍‍‍قُ‍‍صُ‍‍هَا‌ مِ‍‌‍نْ ‌أَ‍طْ‍‍‍رَ‌افِهَا‌ ۚ ‌وَ‌اللَّهُ يَحْكُمُ لاَ‌ مُعَ‍‍قِّ‍‍بَ لِحُكْمِ‍‍هِ ۚ ‌وَهُوَ‌ سَ‍‍ر‍ِ‍ي‍‍عُ ‌الْحِسَابِ
Wa Qad Makara Al-Ladhīna Min Qablihim Falillāhi Al-Makru Jamī`āan ۖ Ya`lamu Mā Taksibu Kullu Nafsin ۗ Wa Saya`lamu Al-Kuffāru Liman `Uq Ad-Dāri 42. Na walipanga walio kuwa kabla yao, lakini Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye mipango yote. Yeye anajua inayo chuma kila nafsi. Na makafiri watajua ni ya nani nyumba ya mwisho Akhera! وَ‍قَ‍‍دْ‌ مَكَ‍رَ‌الَّذ‍ِ‍ي‍‍نَ مِ‍‌‍نْ قَ‍‍بْ‍‍لِهِمْ فَ‍‍لِلَّهِ ‌الْمَكْرُ‌ جَمِيعا‌ ًۖ يَعْلَمُ مَا‌ تَكْسِبُ كُلُّ نَفْسٍۗ ‌وَسَيَعْلَمُ ‌الْكُفّ‍‍َ‍ا‌رُ‌ لِمَ‍‌‍نْ عُ‍‍قْ‍‍بَى‌ ‌ال‍‍دَّ‌ا‌رِ
Wa Yaqūlu Al-Ladhīna Kafarū Lasta Mursalāan ۚ Qul Kafá Billāhi Shahīdāan Baynī Wa Baynakum Wa Man `Indahu `Ilmu Al-Kitābi 43. Na walio kufuru wanasema: Wewe hukutumwa. Sema: Mwenyezi Mungu anatosha kuwa shahidi baina yangu na nyinyi, na pia yule mwenye ilimu ya Kitabu. وَيَ‍قُ‍‍ولُ ‌الَّذ‍ِ‍ي‍‍نَ كَفَرُ‌و‌ا‌ لَسْتَ مُرْسَلا‌‌ ًۚ قُ‍‍لْ كَفَى‌ بِ‍اللَّ‍‍هِ شَهِيد‌ا‌ ً‌ بَيْنِي ‌وَبَيْنَكُمْ ‌وَمَ‍‌‍نْ عِ‍‌‍نْ‍‍دَهُ عِلْمُ ‌الْكِتَابِ
Toggle thick letters. Most people make the mistake of thickening thin letters in the words that have other (highlighted) thick letter Toggle to highlight thick letters خصضغطقظ رَ
Next Sūrah